Wadau natafuta cherahani used

Wadau natafuta cherahani used

sam2015

Senior Member
Joined
Dec 20, 2015
Posts
107
Reaction score
112
Kwa mkazi wa Dar na Pwani natafuta Cherahani Used yenye uwezo wa kushona ngozi nakaribisha na ushauri pia ahsante
 
kwa mkazi wa Dar na Pwani natafuta Cherahani Used yenye uwezo wa kushona ngozi nakaribisha na ushauri pia ahsante
Naona soon unakaribia kumiliki "KIWANDA",
Kweli "Tanzania ya Viwanda inawezekana, and it begins with You"
 
kwa mkazi wa Dar na Pwani natafuta Cherahani Used yenye uwezo wa kushona ngozi nakaribisha na ushauri pia ahsante
Isiyozidi shs ngapi au ni aina gani unataka nikuunganishe na mdau
 
Buterfly inategema xo zote zinaweza kushona ila km unayo naweza kuja na fundi wangu tukaijaribu km inafaa tunafanya biashara
 
Mkuu njoo ninayo singer na ulikuwa inashona ngozi. Ipo buguruni nicheki kwa 0657-623266
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom