Msaada wapi nitapata mifuko ya kuhifadhia nafaka kwa bei nafuu

Msaada wapi nitapata mifuko ya kuhifadhia nafaka kwa bei nafuu

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
1,986
Reaction score
3,151
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba kujua mahali na bei ya jumla ya mifuko ya kawaida ( nylon/salfeti) ya debe sita kwa Dar. asanteni
 
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba kujua mahali na bei ya jumla ya mifuko ya kawaida ( nylon/salfeti) ya debe sita kwa Dar. asanteni
Ngoja wanaojua waje!
Jamani njooni mtusaidie siyo Mwakabanje pekee mwenye uhitaji

Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
 
nenda kariakoo sokoni, nadhani huwezi kukosa taarifa sahihi pale.
au tembelea masoko ya nafaka tandika au tandale utapata taarifa sahihi.

nimejibu in advance kama asipojotokeza wa taarifa kamili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom