Son of Israel from Africa
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,836
- 2,672
Habarii zenuu wanajamviii naombaa mnisaidiee ninatablet yanguu ya samsung tab2 imenigomea kufanya kazi nikiiwashaa haidisplay application zake kwenye screen inaonyesha ka mwangaa sijui nini ?
Na wapii nawezaa kupataa tablet nzuri ya samsung kwa 400k yenye ram GB32 yenye kuweka laini
Na wapii nawezaa kupataa tablet nzuri ya samsung kwa 400k yenye ram GB32 yenye kuweka laini