MS TCDC inakaribisha maombi ya kujiunga na shahada ya kwanza katika programu ya Governance and Development. Shahada hii ni ya miaka mitatu ambayo inatolewa chuoni MS TCDC- Usa River-Arusha...
Wadau,
Kuna saa ya smart watch nililetea kibaya wakati inapakiwa betri haikuwa imewekwa msaada kwa yeyote anayejua naweza pata nimezunguka kwa hapa Posta nimekosa. Msaada wenu.
Picha zifuatazo
....Je unapata ugumu kutangaza bidhaa au biashara yako ili iwafikie watu wengi ⁉
unatangaza lakini haupati matokeo makubwa katika biashara yako
unatangaza biashara lakini haupati wateja wa uhakika...
*Anga handbag design college; mafunzo ya kushona mikoba ya kina mama na kina baba*
Anga handbag design college in chuo kinachotoa mafynzo ya kushona mikoba ya ngozi, na vitambaa.chuo kipo morogoro...
Jipatie samani za majumbani za kisasa na za kupendezwa zinazotengenezwa hapahapa nchini Tanzania na wajasiriamali wazalendo Baez Enterprises, tunapatikana pia katika mitandao ya kijamii Instagram...
Kwa wamiliki magari ya Europe na pia mengine yote (Japan, America au China).
Sasa kuna mafundi wazuri kw diagnosis na marekebisho mengineo.
Tupatane hapa kw maelezo, maswali au ushauri...
K iwanja/shamba linauzwa Njombe,ni KM 7 toka Njombe mjini,jirani na Wende sekondari eneo linaitwa Ngalanga,shamba/eneo lina ukubwa wa ekari 9,BEI MILIONI 2 kwa Ekari.Eneo linafaa kwa kupanda miti...
SAMAKI SATO WABICHI TOKA MWANZA......
KWA ANAYEHITAJI,WABICHI,FRESH, WAKUBWA-NA WA SIZE YA KATI,..
KUANZIA KILO 10 NA KUENDELEA HADI KILO 300...
ORDER YAKO UTAIPATA SIKU HIYO HIYO UTAYO...
Prosessor hii ni ya desktop ipo sokoni ni dual core kwa 350,000Tshs Iko katika ubora wa hali ya juu.
pm me price is negotiable.
Sifa zake.
Number of Cores 2
Number of Threads 4
Processor Base...
Wana jamvi mu hali gani?
Kuna yeyote anaeweza kujua wapi naweza kuvipata vitabu vya visa vya Abunuwasi? Vitabu hivi very classic na nimejaribu kuvisaka nipate kumwonjesha mila za utoto wangu kwa...
Imetumika wiki moja tu rangi gold, nakupa na rist zake kasoro chaja na earphone tu 0683666702 napatikana dsm serious buyer nicheki
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu.
Nahitaji kununua mahindi 500 kg @Tsh.350/=. Sharti mahindi yanapaswa kuwa makubwa na masafi.
Pia nahitaji karanga 300kg@Tsh.1,400/=. Ziwe safi, zisiwe zimeoza, ziwe zimekauka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.