BIASHARA IMEFUNGWALAPTOP IMESHAUZWA. ASANTENI
Aina: Dell Latitude D610
Pentium M 760 (2.00Ghz w/ 533Mhz FSB)
RAM 2G
Size ya kioo 14.1″
Betri inakaa na chaja kwa 2 hours
Imecollapse Hard disc...
· One-off impairments on aircraft and equity investments contribute to US$1.87 billion net loss
· Passenger revenues steady on record passenger numbers and 79% load factors
· 11% reduction in...
ABU DHABI, UMOJA WA FALME ZA KIARABU – Shirika la anga la Etihad limetangaza punguzo la bei katika safari zake duniani kote ikiwa ni njia mahususi ya kuwahamasisha watanzania kusafiri zaidi...
Habari zenu
Nahitaji kuku wa mayai ambao wanataga au wamemaliza kutaga
Nahitaji sasa hivi kama kuki 500 ni uhakika
Kama upo Dar au Kibaha tutafutane
Bei maelewano
Napatikana kwa 0656652250/0684666945
Hi !
Kwa wale wafugaji wa kuku tunatoa maelezo na kumfundisha mtu jinsi ya kutumia box kutotoleshea vifaranga vya kuku, na ndege wengine ni mbinu ambayo ina gharama ndogo kabisa na utapata...
Mambo ya elimu yana ufundi wake, nimekutana na walimu eneo la ilala boma hasa wataalamu wa masomo ya atrs na sayansi. Kweli ni magwiji, nenda ukathibishe.
wana kituo kinaitwa Demtatuzi openi...
Nauza PC aina ya dell
Processor - 1.60 GHz
Installed Memory (RAM)- 4.00GB
hard disk - 450
Processor - 1.60 GHz
Installed Memory (RAM)- 4.00GB
Kitu kimenyooka kama uongozi wa JPM
BEI: 450k only...
KWANZA FOOD PRODUCTS ENTERPRISEs(KFEs) inakuletea KWANZA DAGAA PRODUCTS tunasambaza na kukufikia popote ulipo kukuletea Dagaa safi na walio bora kwa afya yako kutoka Ziwa Victoria - Mwanza, Dagaa...
Nimepewa taarifa na rafiki yangu,kuna ardhi(mbuga)kila ekari ni shillingi Elfu 5,yes tanzania shilings 5,000/-
Ipo karibu na Galapo,manyara muelekeo wa mkoa wa Dodoma.
nimeambiwa inafaa kwa kilimo...
Chumba
self na sebule na jiko pia kuna choo cha nje kwaajili ya wageni.Kimara
baruti nyumba zinazotazama morogoro road.150,000/=kwa mwezi,kodi ya
miezi 6. 0758373037
Kama kunamtaalamu wa IT nilikuwa naomba msaada juu ya hili
kunamtu nataka kumtrack kwa kutumia namba yake ya simu kama uwezekano huo upo basi aje hapa tuyajenge tukifanikisha pesa ipo
Sent...
We are Proficient Chemical Laboratory Technicians based in Dubai and Turkey incorporated in the manufacture of industrial and pharmaceutical products with key specialization in the production of...
Naomba kujua namna ya kupata Mashamba ya kukodisha maeneo ya Kilindi Tanga.
Msimu wa kuandaa Shamba ni kuanzia mwezi wa ngapi.
Asanteni Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.