Bunk beds zinahitajika

Bunk beds zinahitajika

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
13,999
Heshima kwenu wote,
Nahitaji kununua bunk beds maarufu kama double decker.Nahitaji ziwe za chuma au mbao ila zilizo kwenye hali nzuri.
Mwenye nazo tuwasiliane,sanjari na picha na bei pia.

Zinahitajika Arusha,ila hata kama ziko eneo lingine tunaweza angalia uwezekano wa kusafarisha.
Zinahitajika kuanzia vitanda 6-10.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom