Kuku kienyeji(chotara) wanauzwa

jrmpya

Member
Dec 3, 2014
74
58
Habari ya kazi ndugu zangu, kama kichwa kinavyojieleza nauza kuku aina ya chotara ni wakubwa kama ambavyo wanavyoonekana kwenye picha. Bei ni 18000 ukichukua wengi inapungua, tupo kinyerezi, dsm. 0713032969 kwa aliye serious na biashara tuwasiliane.
IMG_20130601_171447.jpeg
IMG_20130601_171231.jpeg
 
Hivi hawa kuku chotara huwa wanataga na kuatamia mayai na kutotoa kama wa kienyeji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom