Majiko ya gas ya bei nafuu

Majiko ya gas ya bei nafuu

luckWill

Member
Joined
Dec 21, 2015
Posts
37
Reaction score
104
e99e9e70263247203143edfb0f580e72.jpg



Majiko haya ni zao la ubunifu wa hapa hapa inchini kwetu Tanzania, majiko haya yaweza kutumika kwa matumizi madogo madogo ya nyumbani kama kupikia chai,kuchemshia vyakula,n.k
Majiko hya ni rafiki wa mazingira kwakua hupunguza matumizi ya mkaa nakuokoa mazingira yetu kwa kutokata mkaa...


Hutumia gas iliyopo kwenye kikopo mfano wa dawa za kupuliza za mbu za kwenye makopo ambayo huuzwa kwa sh.Tshs 2,500 tu kwahio ikiisha unabadiliaha kwa sh.2,500 tu na jiko lenyewe utalipata kwa sh.Tshs 30,000 tu.

Free delivery kwa wakazi wa dsm . mikoani tuna tuma pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hicho kikopo kikiisha gesi unanunua wapi?
 
Kwa mwezi ni elfu 25000

Miezi mitano 125000 mbona gharama boss.... kila la kheri lakini.
 
Kwa mwezi ni elfu 25000

Miezi mitano 125000 mbona gharama boss.... kila la kheri lakini.
Hiyo gharama mkuu ukilinganisha na nishati nyingine au mitungi ya gesi ya kawaida kwa mwezi?
 
Hiyo gharama mkuu ukilinganisha na nishati nyingine au mitungi ya gesi ya kawaida kwa mwezi?

Yeah, kwangu hii ni kubwa saana.....

Vimitungi vya miezi miwili natumia gesi za kawaida miezi mi4
 
Kwa mwezi ni elfu 25000

Miezi mitano 125000 mbona gharama boss.... kila la kheri lakini.
aiseee umepiga mahesabu kweli kweli mkuu maana gesi ya kawaida hukaa mwezi mmojana tunatunanunua kwa 20,000 hadi 22,000 au pungufu ya hapo sasa hiyo iko bei juu kwelikweli wamekuja na mbinu mpya kabisa
 
aiseee umepiga mahesabu kweli kweli mkuu maana gesi ya kawaida hukaa mwezi mmojana tunatunanunua kwa 20,000 hadi 22,000 au pungufu ya hapo sasa hiyo iko bei juu kwelikweli wamekuja na mbinu mpya kabisa
Sasa afadhali wewe hapo karibia zinalingana.. mimi najaza kwa elfu 50000 inakaa 4-5 months lakini kwa hivyo vimtungi itabidi ninunue vya 125000...
 
Jitahidi mpunguze gharama, tutawaunga mkono coz ni bidhaa ya nyumbani.
 
e99e9e70263247203143edfb0f580e72.jpg



Majiko haya ni zao la ubunifu wa hapa hapa inchini kwetu Tanzania, majiko haya yaweza kutumika kwa matumizi madogo madogo ya nyumbani kama kupikia chai,kuchemshia vyakula,n.k
Majiko hya ni rafiki wa mazingira kwakua hupunguza matumizi ya mkaa nakuokoa mazingira yetu kwa kutokata mkaa...


Hutumia gas iliyopo kwenye kikopo mfano wa dawa za kupuliza za mbu za kwenye makopo ambayo huuzwa kwa sh.Tshs 2,500 tu kwahio ikiisha unabadiliaha kwa sh.2,500 tu na jiko lenyewe utalipata kwa sh.Tshs 30,000 tu.

Free delivery kwa wakazi wa dsm . mikoani tuna tuma pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo gesi inakaa muda gani mbona kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom