Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema.<br /> Kwa wenye mahitaji ya uyoga mkavu na mbichi tutakufikishia popote ulipo (Dar pekee) kwa bei nafuu kabisa<br />Pia tunatoa mafunzo ya...
●Are you residing in Dar Es salaam and Pwani and you need master of ceremony for your event?
●Vitality ceremonial inc brings to you group of MC at reliable negotiation.
■Contact us through...
Wakuu kwema??,
Ninauza Kiwanja Changu kilichoko Mbutu, Kichangani,
Kiwanja kimepimwa na ukikichukua hati inatoka kwa jina lako,
Kiwanja kiko pale pale Mbutu mjini around 150m kutoka stand na...
Nahitaji kukodi gari aina ya NOAH kwa ajili ya Harusi siku ya Jumamosi tarehe 12/8/17 hapa DAR.Gari lazima iwe kwenye hali nzuri . Ratiba ni kama ifuatavyo jumamosi mchana kutupeleka kanisani ...
Habarini za muda huu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
line za uwakala zinauzwa kwa yoyote anayehitaji.
- tiGO Pesa (3)
- M Pesa (2)
- Airtel Money (2)
Bei ni 150,000 (kwa kila moja)...
Tunakuletea suluhisho la kudumu kwa Nyumba yako, Kama hukujenga njia ya lift ama umejenga njia ya kupita lift yote sasa yanawezekana, Tunazo Lift/Elevators ndogo kabisa kwa matumizi ya Nyumbani...
Habari zenu..!
Niende moja kwa moja kwenye mada.!
Natafuta watu (hasa vijana wasomi) tushirikiane kuanzisha shirika (mashirika NGOs) lisilo la kiserikali.
Kiuhalisia zipo fursa nyingi za...
Kichwa cha habari chahusika nauza dstv decorder set kwa Tsh. 70,000/- but inapungua kwa maelewano kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0625544781
Napatikana Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.