KABAKA28
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 211
- 229
Habari wana Jf, last time nilitafuta house girl humu ndani, nashukuru nilimpata na tuko nae mpaka sasa anamlea mwanangu n mwezi wa tatu sasa na hakuna tatizo lolote. Asante kwa wana Jf wote.
Leo nakuja hapa natafuta dada wa kufanya scrub kwenye ka saloon kangu niliko kaanzisha hivi karibuni maeneo ya Gongolamboto mwisho wa dala dala zinazotoka mjini.
Saloon n nzuri na ina hadhi ya wastani.
Anae hitaji ani PM namba yake nimtafute tuelewane bei na namna ya kufanya kazi.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nakuja hapa natafuta dada wa kufanya scrub kwenye ka saloon kangu niliko kaanzisha hivi karibuni maeneo ya Gongolamboto mwisho wa dala dala zinazotoka mjini.
Saloon n nzuri na ina hadhi ya wastani.
Anae hitaji ani PM namba yake nimtafute tuelewane bei na namna ya kufanya kazi.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app