Vitu vya nyumbani kwa bei poa

Vitu vya nyumbani kwa bei poa

black chinese

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
1,148
Reaction score
1,229
Baada ya kukomaa na kufika mwezi wa sita na hata wa saba nikiwa mjini.

Hatimaye vyuma vimekaza kiasi cha kuamua kujisalimisha mwenyewe kijijini.

Wana JF nauza vitu vyangu kwa bei chee ili niuwahi msimu wa kilimo kijijini kwetu, kama ifuatavyo:-
IMG-20170906-WA0001.jpg

i5 na hdd ya 150gb kwa 370k tu.
IMG-20170906-WA0002.jpg

Na stand yake kwa 420k tu.
IMG-20170906-WA0004.jpg

Kwa 220k tu.
IMG-20170906-WA0006.jpg

Kwa 600k tu.
IMG-20170906-WA0005.jpg

Kwa 370k tu.
IMG-20170906-WA0003.jpg

Kwa 170k tu.

Kwa maelezo zaidi 0687 089980.. maskani mbezi jogoo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo wapi

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
usiogope kila majanga kuna wanaofanikiwa na wewe labda ndo muda wako mungu anakuita uende ukaanze upya ufanikiwe,,,hizo sofa njoo pm tuongee
 
Back
Top Bottom