Shamba hekari 1200, lauzwa Njombe

Shamba hekari 1200, lauzwa Njombe

Deo Meck Mbagi

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
360
Reaction score
525
Tunauza shamba lenye ukubwa wa hekari 1200, ambalo liko Lupembe - Njombe. Ardhi ya hapa inafaa sana kwa upandaji wa miti na chai, pia mazao mengine. Tunapenda kupata mnunuzi atayeweza kuchukua shamba lote. Hekari moja ni 150000 pia mazungumzo yapo.

nicheki 0715481628 kwa mazungumzo zaidi.
 
Ila inabidi ukilinunua uliendeleze faster maana mashamba yanafutwa balaa
 
Back
Top Bottom