Karibu Autoguru workshop kwa mahitaji ya fenicha za nyumbani ofisini, mashuleni, vyuonina garden
Tuwasiliane kwa namba 0688767668 au 0715967107
Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
Earn real money online by working as a part time job easily, earn up to 2500$ dollars weekly guranteed join link Make money online with online jobs with income more than 3400$ weekly and monthly...
Habari
Hii ni mashine ndogo ya kunyolea ndevu,sharubu na kuchongea.
Ni nyepesi,inakaa na chaji na inanyoa vizuri.
Hii mashine ni used kutoka uk,ninazo mbili tu.
Save pesa yako na mda kwa...
Karibu Autoguru workshop kwa mahitaji ya fenicha za nyumbani ofisini, mashuleni, vyuonina garden
Tuwasiliane kwa namba 0688767668 au 0715967107
Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
Karibuni kwa mbao nzuri na bei poa kabisa, pia tuna safirisha ndani na nje ya nchi kwa bei nafuu sana. Wasiliana nasi kupitia;
· +255768181757
· Or
· +255754961148...
Za leo Wandugu
Poleni na kukosa hela za bia weekend nzima mkaula wa chuya.Natafuta nyumba yenye vigezo hivi
1.vyumba viwili vya kulala
2.Jiko
3.Sebule
4.Maliwato
5.Iwe karibu na Barabara
6.Isiwe...
Mimi Mwl wa idara ya sekondari natafuta Mwl wa kubadilishana nae kituo cha kazi yeye aje halmashauri ya Ngara na Mimi nihamie halmashauri ya Mji Geita. Kwa mawasaliano. 0782806017/0755420225
Wadau,
Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari ishirini. Lipo katika mkoa wa pwani, wilaya ya kibiti kata ya bungu. Bei ni 10,000,000. Mazungumzo yapo na unaweza Kulipia kwa awamu mbili. 0716548250
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji vyumba viwili na sebule ila viwe na mtiririko wa kuungana kwa mfano chumba sebule chumba viwe vinapatikana mtwara mjini yoyote mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.