Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

TOYOTA HARRIER Year : 2006 Engine capacity :2360 Drive : 2wd Mileage :140000 km Gharama kamili : Tzs23.9million Call / whatsapp : 0652310631 GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Vifaa vya muziki wa either ukumbini au kanisani au sehemu yeyote ya wanakopigisha muziki, vinauzwa kwa bei nzuri na maelewano. Vinapatikana maeneo ya kigogo mburahati Spika nne kubwa za base...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Habari kwa anaehitaji viwanja vipo vingi vimeshapimwa vya square meter 400 ni mil 4 kwa mawasiliano zaidi simu 0712 212 220 for seriuos buyers
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kicha cha habari kinavyojieleza,PM plzz
1 Reactions
1 Replies
915 Views
SOLD OUT SOLD OUT SOLD OUT
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nauza vifaa vya kisasa vya kurekodia, kuhariri na kutangazia vya teknolojia ya digital bei ni milion 35 complete set. MWONEKANO WAKE NI HUU
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Iko katika hali nzuri Inatumia laini 2 Ina screen protector ya 3D Ina crack ndogo na haionekani sana kwenye mfuniko. Bei 480k.. inapungua kidogo. More details.. whatsap0715 193 810, mbagala...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini wadau, kuna eneo ambalo ni zuri kwa makazi maeneo ya dege kigamboni. Ni ukubwa wa mita 25 kwa 25. Bei ni milion tatu. Mwenye uhitaji serious anichek 0764503076. Umeme na maji yapo maeneo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunachora Ramani za nyumba kwa bei nafuu sana kila mtu atajenga wasiliana nasi kwa Whatasapp +255717040837 / +255767267664
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari wana jf tunachimba visima kwa bei rahisi kabisa pamoja na kufanya ground water survey Mawasiliano 0625 576082 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina MPC studio Black bado ipo katika hali nzuli sana bei ni 650,000 Kama una pungufu unaongea. Nicheki humu 0768021321 (kwa wenye uhitaji tu)
1 Reactions
0 Replies
2K Views
I need total info about clearing cost of bus or containner Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Warembo karibuni kupata vitu classic pochi kali na viatu unique.mali zetu ni kutoka thailand..no fake zone[emoji16][emoji16] karibuni sana .<br />Ps..Tunafanya delivery dar na mikoa yote...
1 Reactions
3 Replies
895 Views
Warembo karibuni kupata vitu classic pochi kali na viatu unique.mali zetu ni kutoka thailand..no fake zone[emoji16][emoji16] karibuni sana . Ps..Tunafanya delivery dar na mikoa yote Tz..wholesale...
0 Reactions
4 Replies
884 Views
Habar zenu wakuu nahitaji vifaa vya saloon ya kike kwa anae uza Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Habari wandugu Nataka kufungua dry cleaner Mwenye uzoefu wa hizi mambo naomba anipe hata hints kidogo natakiwa mashine ngapi naweza kuzipata wapi na ghalama zipe.. Nataka kufungua maeneo yenye...
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Wakuu heshima zenu, RAV 4 old model, Sifa Namba=B/C Rangi=Blue/Red/Black/Dark blue/ kwa ufupi isiwe nyeupe au silver Mengine majadiliano, bei isizidi 7m Nawasilisha
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Moja ya bidhaa zetu zilinazo Fanya vizur sokoni in pure black castor oil pamoja na shampoo yake huyu ni mmoja Wa Mteja wetu wa.Znz ambaye alianza kutimia mafuta haya takriban mwezi sasa na hayo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu tuna page instagram ya kutangaza vitu used vya majumbani, ofisini na vitu vya watoto vinavyouzwa kwa bei nafuu, usitupe kitu usichohitaji tena, kumbuka cha zamani kwako kipya kwetu. tutafute...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom