Anayezijua microsoft lumia na nokia vizuri msaada

Anayezijua microsoft lumia na nokia vizuri msaada

Joined
Aug 23, 2013
Posts
71
Reaction score
10
Habari wadau, Natafuta simu ya kipato cha chini kama 250k hivi ila lumia. Sasa naziona hizi nokia na microsoft sokoni. Nashindwa kufanya choice kwani zinafanana. huwezi jua ipi ni orijinal au fake sasa mtaalaam anijuze maana bei zake sizijui vizuri, ukinisaidia Bei zake halisi. Itafaa sana
 
c0cad72a4fa24a7b8a9dbbb634b6431b.jpg
a565e3af1ed924e45e6621ba2d40f07e.jpg
 
Back
Top Bottom