Mimi natafuta kiwanja cha bei ya shilingi zisizozidi milioni mbili popote Daslam... Mwenye nacho anichek...Bei zimechangamka
wakinga wakweli ila hii mizaramo ilizaliwa kutapeli wenzao hongera dr sangaSasa nawewe ulinunua Kiwanja kwa Dalali.
Nunua kiwanja kwa mwenye mali na upajue kwake.
Kilometer ngap kutoka bagamoyo road?Sory kwa kuingilia Uzi nauza eneo langu lipo madale,wilaya ya kinondoni ukubwa 35 x 35 mita .UMEME na MAJI vipo hapohapo. Bei kuanzia 22mil maongozi yapo .nicheki kwa 0657849984 au whatsap 0769868888![]()