Godoro na Mapazia 3 ya kifahari vinauzwa.

Riziki Mohammed

Senior Member
Mar 4, 2017
118
205
Habari wakuu,

Nimepata majanga inabidi niuze vifuatavyo, vyote vipo Dar:
  • Pazia 3 za kifahari, pamoja na fimbo zake za madirishani ambazo kila moja ina urembo/ringi zake. Vyote kwa pamoja utanipa elfu 80 (bei ni fixed). Mimi nilinunua elfu 35 kwa pazia 1, na elfu 15 kwa kila fimbo.
  • Godoro la Tanform Premium kwa laki na elfu 80, (bei ni fixed). Ni la 5x6, lenye Spring. Nilinunua laki 3. Bado jipya kabisa maana limetumika 3 months.
Nimeambatanisha picha. Kama uko serious PIGA SIMU.

0769605220
IMG_20170304_102244.jpg
IMG_20170304_102302.jpg
IMG_20170304_103507.jpg
IMG_20170304_103521.jpg
IMG_20170304_102818.jpg
IMG_20170304_103020.jpg
 
Habari wakuu,

Nimepata majanga inabidi niuze vifuatavyo, vyote vipo Dar:
  • Pazia 3 za kifahari, pamoja na fimbo zake za madirishani ambazo kila moja ina urembo/ringi zake. Vyote kwa pamoja utanipa elfu 80 (bei ni fixed). Mimi nilinunua elfu 35 kwa pazia 1, na elfu 15 kwa kila fimbo.
  • Godoro la Tanform Premium kwa laki na elfu 80, (bei ni fixed). Ni la 5x6, lenye Spring. Nilinunua laki 3. Bado jipya kabisa maana limetumika 3 months.
Nimeambatanisha picha. Kama uko serious PIGA SIMU.

0769605220

Mkuu:
Sasa wewe unauza godoro utalalia nini au unahama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom