Wakuu Salaam., nikiwa katika maandalizi ya mama watoto ambaye ni mjamzito,
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D.,kutoka kwa mwenye mali. mwenye nayo ani PM niseme nae vizuri.
Budget kwa sasa ni 7M. Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.