CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wanajukwaa naomba kuuliza:
Kiwangwa (Bagamoyo) ekari moja ya shamba wanauza bei gani? (Price range)
Mazao gani yanafaa? (yanayotajwa sana)
Vipi kuhusu utapeli? (Bagamoyo inasifika kwa kuuza mashamba zaidi ya mara moja na/ au maeneo yaliyopangwa na serikali kwa shughuli maalum)
Kiwangwa (Bagamoyo) ekari moja ya shamba wanauza bei gani? (Price range)
Mazao gani yanafaa? (yanayotajwa sana)
Vipi kuhusu utapeli? (Bagamoyo inasifika kwa kuuza mashamba zaidi ya mara moja na/ au maeneo yaliyopangwa na serikali kwa shughuli maalum)