Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

We supply and install food quality cold rooms for commercial and industrial use, mortuary chambers and hospital cold rooms and also we are suppling solar system and aircondition for home use. For...
0 Reactions
2 Replies
842 Views
Naomba kuuliza, wapi naweza nikapata meza ya plastic kama zile wanazotumia watu wanaosajili laini? Pia mwenye kujua bei yake naomba anijulishe. Miguu ya hiyo meza huwa inaweza kutolewa na kuwekwa...
0 Reactions
1 Replies
636 Views
Kwa wale wanaopenda mbwa wao, chakula kutoka South Africa kinauzwa kila mfuko una kilo sita(6). Bei shs 48,000 kwa mfuko.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Bado jipya Rangi ni zambarau (purple) Halihitaji repair yoyote maana bado ni zima Mtu akitaka anaweza kulitengeneza likawa sofa kamili Lipo kinondoni B Bei ni elfu 80000 Kwa atakayehitaji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 120000 Tanzania. Orodha Ina:- Jina la...
2 Reactions
16 Replies
10K Views
Wakuu habari za wakati, Nimepata tatizo, sina cha kukwamuka zaidi ya kuuza gari yangu. Kiimfaacho mtu chake.Nimeshusha bei kutoka 7.8m mpaka 6.9m. Usisite kupiga simu, hatuwezi kushindwana...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Tafadhali naomba mwenye kujua ntaipata wap mashine au mtambo wa kutengeneza barafu!!
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Chuo cha Excellent Training Center kinawatangazia kuwa maandalizi ya QT na Resitters kwa mwaka wa masomo 2018 yameanza. Hivyo wahi mapema. Pia tunapokea darasa la saba waliofeli hata kama hajui...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ondoa tumbo ukiwa nyumbani,fanya mazoezi ya mikono,miguu na kutengeneza mwili uliouhitaji siku zote ukiwa na kifaa hichi kinachoitwa revoflex_extreme Kwa tsh 40,000 tu Wasiliana nasi kupitia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
iphone imetumika nje ya nchi kwa wiki mbili Iphone 6plus 64 Gb Gold colour inakuja na charger Bei laki tisa kwa maelezo zaidi piga 0783 132193 Karibuni
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa anae uza kiwanja hapa arusha nahitaji kwa maeneo ya Engosheraton kisiwe mbali na shule ya Edmund rice au chekereni na kikatiti.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
1. Ukubwa ni 40 X 40 square Miter Bei ni Million 50 Kiwanja kipo umbali karibu miter 500 kutoka bagamoyo Road. Na pia kipo karibu na kambi ya jeshi ya kunduchi. Maji umeme vyote vipo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wanajukwaa naomba kuuliza: Kiwangwa (Bagamoyo) ekari moja ya shamba wanauza bei gani? (Price range) Mazao gani yanafaa? (yanayotajwa sana) Vipi kuhusu utapeli? (Bagamoyo inasifika kwa kuuza...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wadau, Maisha ni kuchangamka na kuchangamka ni kuamka. nimeamua kuanza biashara ya kuuza TV za Mitumba kuanzia Inch 24, 28, 32 sasa kuna kijana wangu hapa Dar ndo nataka afanye hiyo biashara...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
For your inquiries of houses/appartments or office space for rent Masaki, Oysterbay, Msasani, Mbezi beach. Contact: 0689315582 Email: jo@jrrealestatedealers.co.tz Website...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inahitajika simu tajwa hapo juu, iwe used but in good condition au brand new with affordable price. NOTE: (a) Inatakiwa iPhone 5S tu, mnaouza simu brand nyingine tusameheane wala sihitaji (b)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza 3G HSPDA modem mpya inayotumia laini zote , pia ina sehemu (slot) ya kuweka memory card hivyo utaweza kuitumia kama flash pia kwa kuweka memory yako kwenye hiyo sehemu. Location: Napatikana...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Kama una mbao ambazo ushatumia tayari na unauza tuwasiliane, hata kama hujazitumia ila unauza bei ya chini kidogo. Nipo sinza. Sehemu yoyote kwa dar nitazifata kama unazo. ********NShapata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nipo dar Nanunua nguruwe wa kuchinja Kama unao ni pm
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunafundisha Kompyuta kwa program za, MS WORD, ACCESS, EXCELL, POWERPOINT, INTERNENT AND E-MAIL, PUBLISHER n.k, kwa muda wa wiki tatu tu, vyeti vitatolewa kwa watakao hitimu. Tupo kinondoni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…