Pajero gdi turbo inauzwa

Pajero gdi turbo inauzwa

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu habari za wakati,
Nimepata tatizo, sina cha kukwamuka zaidi ya kuuza gari yangu. Kiimfaacho mtu chake.Nimeshusha bei kutoka 7.8m mpaka 6.9m. Usisite kupiga simu, hatuwezi kushindwana biashara. Hii gari ina sifa zifuatazo
-ina turbo
-Namba D
-100,000km
-1830cc
-full AC
-mziki system nzuri
-sports rim
-nice and comfortable springs
-viti vizuri na kava bado Mpya
-haijaguswa engine
-haijarudiwa Rangi

Mwenye kuhitaji kuiona na kuitest, simu namba 0716411720
IMG-20171001-WA0010.jpg
IMG-20170926-WA0030.jpg
IMG-20170921-WA0017.jpg
IMG-20171001-WA0001.jpg
IMG-20170921-WA0011.jpg
 
Nauzia shida, roho inaniuma, shida hizi zinaumiza, Ila ndio maisha. Karibuni wakuu wenzangu muniokoe member mwenzenu
 
Shusha kidogo, Pajero, GDI, Manual? nafikiri upo juu. Mitsubishi za aina hizo haziendi kirahisi, again watu wamekuwa wavivu, manual is also a challenge, all the best anyways.
 
Nauzia shida, roho inaniuma, shida hizi zinaumiza, Ila ndio maisha. Karibuni wakuu wenzangu muniokoe member mwenzenu
Mkuu hizo gari ni FALIER
Mitsubishi pajero ni NDOA ya maisha
Walichemka ktk INJECTOR PUMP.
CONTOL BOX na GEAR BOX.
unaweza ukashangaa ghafla tu kamejizima na kuwaka ni shughuli.
Unaweza shangaa Mara gear ya Rivas hai ingej(hingii).
Hapo wa Japan sijui nini haasa dhumuni.lao walilolikusudia kwa hizo gari.
Ukiangalia show za gari zinavutia saana ulaji wa mafuta 4WD Good for parking
Lkn ni NDOA YA MAISHA.
UKIJAALIWA KUUZA NI PM NA MIMI NAZO MBILI NIMEZIPAKI MKUU
 
Mkuu hizo gari ni FALIER
Mitsubishi pajero ni NDOA ya maisha
Walichemka ktk INJECTOR PUMP.
CONTOL BOX na GEAR BOX.
unaweza ukashangaa ghafla tu kamejizima na kuwaka ni shughuli.
Unaweza shangaa Mara gear ya Rivas hai ingej(hingii).
Hapo wa Japan sijui nini haasa dhumuni.lao walilolikusudia kwa hizo gari.
Ukiangalia show za gari zinavutia saana ulaji wa mafuta 4WD Good for parking
Lkn ni NDOA YA MAISHA.
UKIJAALIWA KUUZA NI PM NA MIMI NAZO MBILI NIMEZIPAKI MKUU
Kuna jamaa yangu analo lake kidogo limfilisi kaamua ku change injini, ameamua kuweka ya Toyota
 
MhhhhhhhE="chakii, post: 23792621, member: 170937"]Kuna jamaa yangu analo lake kidogo limfilisi kaamua ku change injini, ameamua kuweka ya Toyota[/QUOTE]
Mhhhh ongopeaneni
 
Wakuu bado gari lipo. Wekeni ofa zenu, mnikwamue na tatizo linalonikabili. Piga simu, hatuwezi kushindwana
 
Ingelikuwa manual ningelinunua haya Automatic siyawezi wazee.
 
Haikutimia"mob, post: 23802906, member: 20179"]Ingelikuwa manual ningelinunua haya Automatic siyawezi wazee.[/QUOTE]
Haikuwa riziki. Ila sio mbaya, ndio linaweza kuwa automatic la Kwanza kwako. Weka ofa yako, piga simu tuzungumze, hatuwezi shindwana
 
Shusha kidogo, Pajero, GDI, Manual? nafikiri upo juu. Mitsubishi za aina hizo haziendi kirahisi, again watu wamekuwa wavivu, manual is also a challenge, all the best anyways.
Auto mkuu
 
duh kweli una shida kubwa! hiyo gari siyo ya bei hiyo...kama vipi kaiweke kule kupatana.com utauza fasta
 
Ila hiyo TURBO nayo ni issue aisee, ikiwa bila hiyo tu tayari tatizo, sasa ukiongezea na hilo hapo dah
 
Ila hiyo TURBO nayo ni issue aisee, ikiwa bila hiyo tu tayari tatizo, sasa ukiongezea na hilo hapo dah
Hii sio io. Ni tofauti. Njoo uione ujiridhishe. Kuna MTU mmoja hapa jf alikuja kuiona Jana, sema bei yake ndogo
 
Shusha kidogo, Pajero, GDI, Manual? nafikiri upo juu. Mitsubishi za aina hizo haziendi kirahisi, again watu wamekuwa wavivu, manual is also a challenge, all the best anyways.
...Watu wa mjini mna tabu sana, yaani uvivu hadi kuendesha gari ya manual? No wonder malalamiko ya kabao kamoja kwa wadada hayaishi.
 
...Watu wa mjini mna tabu sana, yaani uvivu hadi kuendesha gari ya manual? No wonder malalamiko ya kabao kamoja kwa wadada hayaishi.

napenda manual sana, but naongelea market, kupata tabu sio kuwa mjanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom