Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Iphone 5s-450,000 iphone. 6-650,000 iphone 6plus-840,000 Full boxed New ikiwa na warrant ya miezi 6.. Call/Text : 0713 160 909
0 Reactions
3 Replies
955 Views
Natafuta wapangaji wawili tofauti wa stockyard yangu pembezoni mwa ukuta (cement bricks) ya nyumba yangu Sinza A (karibu nakituo cha bus kwa Remi) off Sheikhlango road PANAFAA BIASHARA YA: 1...
0 Reactions
1 Replies
661 Views
Shamba linahitajika mkoa wa Pwani maeneo yafuatayo: Kwala, Dutumi, Zegero, Mafisi au Mperamumbi. Ukubwa ni kuanzia eka(acres) 4 hadi 10. Upendeleo ni shamba ambalo halijalimwa (virgin) ila hata...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani eehhhhh hata kama ndo hali ngumu za kiuchumi lakini tujitahidi basi maana mtu anataka umfundishe kupika na kupamba keki kwa vitendo bila gharama ya mafunzo hivi kweli kabisa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chumba na sebule na choo chake vinapangishwa Kigamboni pango ni sh.150,000 kwa miezi 6. Pia kuna Chumba na sebule na jiko lake 180,000 na Self ya 80,000. Vyote viko Kigamboni, km 3 kutoka ferry...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Viwanja vinauzwa vipo kitonga msongola dar es Salaam viwanja vipo karbu na barabara ya lami iundanishayo mbagara na chanika umiliki wa barua ya serikali ya mtaaa unakabidhiwa karbun sana
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Natafuta wapangaji wawili wa stockyard iliyo pembezoni mwa ukuta (wa cement bricks) wa nyumba yangu Sinza A off sheikhlango road INAFAA BIASHARA YA: 1. Kuuza mbao na miti ya mirunda rejareja na...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Habari za muda huu. Nahitaji huduma ya Sim swap. Note:ni namba za wakala hazina Tin na Leseni ila ni zangu. PM namba yako kabla mods hawajafuta hii thread. Kama ni mfanyakazi uchwara pita hivi.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Autoguru tumemwaga ofa pata kitanda kwa 230000 tu Tunapatikana Kinondon Manyanya mtaa wa Brazil 0688767668 au 0715967107
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Ni self contained chumba sitting room,choo ndani,jiko na frem pia uwanja wa kujenga nyumba kubwa umebaki ipo kisemvule bei ni M16 nicheki 0711702370 kwa maelezo zaidi
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza complete DJ system
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Habari ya majukumu wanaJF haya sasa wale dagaa safi toka bukoba wasio na mchanga watawasili wiki hii kabla ya ijumaa, napokea oda zenu kupitia namba zifuatazo 769308154,0713847985 tunapatikana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza Banda la Kisasa la kufanyia biashara aina yoyote(Mabati ya Grill) na kuezekwa vizuri kwa bati bado jipya. Ukubwa Mita 8 kwa 7, pia linahamishika. Liko vizuri, kwa anayehitaji pia kuna kabati...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Natafuta chumba cha kupanga Arusha kiwe na hali nzuri kimoja bei rahisi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Offer ! Offer !offer ZANZIBAR GENERAL SUPPLY wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo! Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs #specifications .HDMI...
0 Reactions
58 Replies
14K Views
Ndugu wanajamii forum nauza nyumba mil 110 Ina vyumba 8 sebure mbili,dinning,jiko.Iko manzese Mwanzoni mwa barabara ya lami iendayo sinza.Parking kubwa na eneo limejengwa kwa mpangilio kama vile...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Sold 26/07/2017 ============================================================
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa tunauza mashine za kuangulia vifaranga(Incubator) bei poa pia ni automatic na zinaanzia mayai 50-1000 pia tunatoa elimu ya matumizi na ya uifadhi wa mayai karibuni sana.
0 Reactions
1 Replies
786 Views
Habar, Husika na kichwa hapo juu nauza HUAWEI E9 PRO bei 450000/=Tshs nahitaji walio serious kwenye business caffeine na sio jokes. Napatika Tanga mtaa wa Mapinduzi msikitini kona ya kuelekea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Pata Dagaa safi na wasio na mchanga toka bukoba,Tunapatika kituo cha Taliani Kama unaelekea Chanika Jijini Dar es salaam.... Bei ya kilo moja ni shilling 8000/= kwa mawasiliano zaidi piga namba...
0 Reactions
2 Replies
44K Views
Back
Top Bottom