Wakuu habari za majukumu.
Namshukuru Mungu sasa naweza kutatua tatizo lililokuwa linanikabili. Nimefanikiwa kuiuza gari Kwa mwanajf mwenzetu.
Asanteni sana
Habari Wana Jamvi,
Rejea kichwa cha habari hapo juu,
Nahitaji bajaji kwa ajili ya biashara kujikomboa katika harakati za utafutaji, isiwe imechakaa sana iwe imetumika chini ya mwaka mmoja...
Nauza printer nimeitumia kama miezi miwili, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet 2135 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. Anayeitaka ani-PM nipo dar
Vipo mbezi,kimara,kibamba,kibaha,chanika,mbagara,buza,bagamoyo,bunju,boko,nk hatua 20x 20bei kuanzia laki saba karibuni sana mawasiliano 0677570437/0717342414
Wadau habari..
Kama heading inavyojieleza mwenye anauza aina hiyo ya Camera iliyoko kwenye hali nzuri au anaefahamu maduka kati ya Arusha na dar.. Na bei zake naomba msaada.
Nahitaji laptop kwa ajili ya matumizi ya kawaida browsing,kuandika documents na kujibia emails. Budget ni kati ya 300-350k.Battery iwe nzima tafadhali!!!
Wenye mashine tuchekiane!
TOYOTA TOWNACE NOAH
Year : 1998
Engine capacity :2000
Drive : 4wd
Mileage :120000 km
Gharama kamili : Tzs13.7million
Call / whatsapp : 0652310631
GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
Hawa ni Wataalamu na Mabingwa wa kupambana na Wizi wa kiuharifu katika nyumba na magari.
Tunatumia Teknolojia ya Hali ya Juu ya kuifanya nyumba yako iwe katika hali ya ubora na usalama zaidi...
Habari wakuu, nna line ya TIGO PESA na AIRTEL MONEY.
Kwa yeyote atakayehitaji mawasiliano; 0719 490 810 nicheck tafadhali.
TIGO PESA Tsh 200,000/
AIRTEL MONEY Tsh...
Hello members habari za mihangaiko na shughuli za kila siku I hope ni wazima wa afya
Mimi ni mjasiriamali ambaye mara nyingi najihusisha na maswala ya kutoa training za masomo mbalimbali kwa...
Nina laptop aina ya dell inspiron N5110. Ipo katika hali nzuri yaani clean na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa. Ina
RAM 4GB
HDD 640GB
Processor ni 2.4ghz core i5
Inakaa sana charge(zaidi ya...
kwa mahitaji yako ya picha katika shughuli yoyote eg;HARUSI,KITCHEN PARTY, SEND OFF,BIRTHDAY PARTY, PRE BIRTHDAY photoshoot, NORMAL photoshoots
contact us ;sstansloustheobard@gmail.com
0763175222...
Sitta electronics Dar es salaam 0766 10 27 10.
- Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk
-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.