Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Call or whatsapp 0688767668/0715967107 Kinondoni Manyanya Mtaa wa Brazil Autoguru workshop
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Wakuu habari za majukumu. Namshukuru Mungu sasa naweza kutatua tatizo lililokuwa linanikabili. Nimefanikiwa kuiuza gari Kwa mwanajf mwenzetu. Asanteni sana
2 Reactions
5 Replies
989 Views
Napendekeza iwe maeneo ya karibu na ukonga banana ama kitunda,na iwe haina tatzo lolote . Pesa IPO Cash
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari Wana Jamvi, Rejea kichwa cha habari hapo juu, Nahitaji bajaji kwa ajili ya biashara kujikomboa katika harakati za utafutaji, isiwe imechakaa sana iwe imetumika chini ya mwaka mmoja...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Nauza printer nimeitumia kama miezi miwili, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet 2135 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. Anayeitaka ani-PM nipo dar
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Niko Dar,iwe haina tatizo lolote, Ama kampuni nyingine yoyote si lazma star x Apienayo tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vipo mbezi,kimara,kibamba,kibaha,chanika,mbagara,buza,bagamoyo,bunju,boko,nk hatua 20x 20bei kuanzia laki saba karibuni sana mawasiliano 0677570437/0717342414
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau habari.. Kama heading inavyojieleza mwenye anauza aina hiyo ya Camera iliyoko kwenye hali nzuri au anaefahamu maduka kati ya Arusha na dar.. Na bei zake naomba msaada.
0 Reactions
5 Replies
987 Views
Nahitaji laptop kwa ajili ya matumizi ya kawaida browsing,kuandika documents na kujibia emails. Budget ni kati ya 300-350k.Battery iwe nzima tafadhali!!! Wenye mashine tuchekiane!
0 Reactions
2 Replies
965 Views
TOYOTA TOWNACE NOAH Year : 1998 Engine capacity :2000 Drive : 4wd Mileage :120000 km Gharama kamili : Tzs13.7million Call / whatsapp : 0652310631 GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habri wana JF? Toyota Noah ipo katika hali nzuri. Bei Milioni 11. Gari ipo Dar es Salaam. Kwa mawasiliano 0754455865. NB: Dalali hahitajiki
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Hawa ni Wataalamu na Mabingwa wa kupambana na Wizi wa kiuharifu katika nyumba na magari. Tunatumia Teknolojia ya Hali ya Juu ya kuifanya nyumba yako iwe katika hali ya ubora na usalama zaidi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu, nna line ya TIGO PESA na AIRTEL MONEY. Kwa yeyote atakayehitaji mawasiliano; 0719 490 810 nicheck tafadhali. TIGO PESA Tsh 200,000/ AIRTEL MONEY Tsh...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello members habari za mihangaiko na shughuli za kila siku I hope ni wazima wa afya Mimi ni mjasiriamali ambaye mara nyingi najihusisha na maswala ya kutoa training za masomo mbalimbali kwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nina laptop aina ya dell inspiron N5110. Ipo katika hali nzuri yaani clean na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa. Ina RAM 4GB HDD 640GB Processor ni 2.4ghz core i5 Inakaa sana charge(zaidi ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kina kisima cha maji, minazi michache.. Nina tatizo la haraka ndio sababu ya kuuza otherwise sikuwaza kabisa kuuza 0785 825 442
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Upana mita 15 urefu mita 30 bei kila kiwanja 1800000. Nitafute kwa namba 0757250813
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa mahitaji yako ya picha katika shughuli yoyote eg;HARUSI,KITCHEN PARTY, SEND OFF,BIRTHDAY PARTY, PRE BIRTHDAY photoshoot, NORMAL photoshoots contact us ;sstansloustheobard@gmail.com 0763175222...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Internal 64gb Ram 4gb Condition:very good Price 400,000 tu. Call 0788622610
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sitta electronics Dar es salaam 0766 10 27 10. - Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk -...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom