Wana wastani wa kg ngapi kila mmoja?Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
njoo pmHabari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
vizuri tu,na kama ni mjanjamjanja hata vile vijike underage ameaanza kuvifukuzia tayariHivi miezi saba jogoo kishaanza kupiga mambo?
Hebu tuone picha
Serious? Make nna vimtetea havina mmevizuri tu,na kama ni mjanjamjanja hata vile vijike underage ameaanza kuvifukuzia tayari
Kwa hao kloiler bado ila ni wazuri sana!Hivi miezi saba jogoo kishaanza kupiga mambo?
Hebu tuone picha
ahha hhaa,kweli,changamkia wazee wa kazi hapo,hayo ni game mwanzo mwishoSerious? Make nna vimtetea havina mme