Ninauza majogoo aina ya Kroiler/chotara.

Ninauza majogoo aina ya Kroiler/chotara.

bestest

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
67
Reaction score
9
Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
IMAG0017.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom