Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Heshima kwenu wadau nauza line yangu ya mpesa na tigi pesa,kwa yeyote anayehitaji tafadhali naomba tuwasiliane kwa namba 0653875037. Shukrani
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri ,ina mwaka mmoja toka inunuliwe haina tatzo lolote ,ninauza sababu nina tatzo na hela kidogo ,simu ipo dodoma kwa mawasiliano tuma sms kwenye 0692477837
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawili tumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana jf, ninaomba kuwauliza wale wa taalum au wanafahamu ni panel gani iliyo bora kwa matumizi ya nyumbani? ikiwemo kutumia kwenye jokofu, kiyoyozi nk. naomba msaada wenu nitavipata wapi na...
0 Reactions
1 Replies
741 Views
4bedroom Apartment 3 Bathrooms and Toilets Sitting room Kitchen Store Full Ac Location-ilala Bungoni Price-550usd
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza asali asilia kutoka Tabora kwa bei nzuri nyuki wadogo lita 30,000 nyuki wakubwa lita 10,000 napatikana dar es salaam maeneo ya changanyikeni kwa...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji freezer iwe mpya au used lakini isiwe na tatizo lolote lile. Bajeti yangu ni 300000 lakini iwe mwanza au musoma. Kama kuna mwenye nayo anicheki kwa 0758652954
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya leo Wadau? Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba kwa ajili ya Makazi ya familia ipo sokoni, inapatikana maeneno ya Chanika buyuni. Kiwanja kimepimwa Na kina ukubwa Wa Sqm 660 document zote zipo Ina jumla ya vyumba vitatu, viwili Ni self...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wanajukwaaa. Sina maneno mengi sana nahitaji simu nzuri yenye uwezo wa 4G iwe used lakin isiwe zaidi ya miezi sita....nipo dar jiji la bashite... Kama unayo naomba unitumie picha na uje...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Redeem Insurance Agency ni kampuni iliyosajiliwa kutoa huduma mbalimabali za Bima. Pata huduma zetu mbalimbali za bima na ushauri bure kutoka kwa wataalamu waliobobea kwenye masuala ya bima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza meza ya office n ya mbao ya mninga..IPO sinza lufungila Angalia picha.. Bei..in 150000 tuu Call 0713794962
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni mafundi na wataalam wa sofa aina zote za chuma na za mbao, vitanda vya mbao, chuma na sofa, meza za mbao na sofa, makabati, pia tunarepair sofa aina zote 0719532007
1 Reactions
14 Replies
17K Views
Wakuu habari! Nahitaji kuwa professional photographer, je ni wapi naweza kupata wataalam ninapoweza kujifunza kwa hapa dar es salaam na gharama za kufundishwa zikoje.Natanguliza shukrani kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vipi wadau. Naitwa Snitch2020 Naomba mniambie ninaweza kupata wapi Mashine ya kutengeneza Juice ya muwa mpya kwa bei rahisi. Mashine iwe inatumia Umeme. kama kuna mtu anafahamu...
0 Reactions
4 Replies
969 Views
Kama una hitaji huduma za drip irrigation tafadhali tuwasiliane jjkcompanyltd@yahoo.com au 0759339016 Tupo Arusha ila tunatoa huduma nchi nzima.
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Pata miche bora kabisa ya miembe kwa dar es salaam,utafurahia maembe haya kwani yanazaa kwa kiwango cha juu kabisa,epuka kununua miche kwa wauzaji wa mtaani,bei ya mche mmoja ni 10,000 za...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Color Silver CC 2360 AB ABS AW RS FOG NV 2WD 100s km Total Cost + Ushuru Tsh 20.5Mil Agiza nami kwa: Call/whatsapp/skype: +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com Office: Quality Centre, Nyerere...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta wateja wa viatu jumla na rejareja head office kariakoo mtaa wa nyamwezi na wakala yupo tunduma, mbeya lakini ukitaka popote tunakuletea bei nafuu kabisa
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…