Msaada: Natafuta mbegu ya mpunga "komboka"

Msaada: Natafuta mbegu ya mpunga "komboka"

mkandaboy

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
257
Reaction score
89
Habari ya leo Wadau?
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa msimu huu unaokuja wa kilimo cha Mpunga.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
 
Back
Top Bottom