mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 257
- 89
Habari ya leo Wadau?
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa msimu huu unaokuja wa kilimo cha Mpunga.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa msimu huu unaokuja wa kilimo cha Mpunga.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.