Je wewe ni mwajiri au mwajiriwa wa kazi za nyumbani? Umeajiri msichana wa kazi za nyumbani na ana matatizo?ni mwizi,mjeuri, anatabia mbaya isiokupendeza na hujui cha kumfanya wala wapi...
Heshima kwenu The Great Thinker. Matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na mchakamchaka wa kusakata gurudumu la Maisha. Kwa upande wangu na familia hatujambo na tunamshukuru Mwenyezi Mungu...
Habari wakuu,
Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 (zingatia hapa nimevipima mimi mwenyewe na havina hati)
vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea...
Habari...
Leo nawaletea mzigo tajwa hapo juu..
In mint condition...inakuja simu,cable,2covers..
Bei Tsh 800,000...
Nipo Morogoro, ila ukiwa wahitaj kuiona weekend zote nipo dar..
0787 408180...
Kwa anae hitaji mkopo ndani ya masaa 24 kuanzia laki1 na kuendelea ani tafute hata pm,ila awe na vigezo hivi;
.awe mtumishi wa umma(serikali)
.mshahara wake uwe una pitia hazina.
ukiwa tayari...
Wasalaam
Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa?
NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya...
Habari ndugu wana JF.
Naomba kuuliza hotel au lodge nzuri iliyopo maeneo ya baharini beach Tanga ...
Nataka nikatembee kidogo nipumzishe akili yangu na stress za maisha.
Msaada please
Wadau,
Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS...
Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa...
Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na...
habari wanajamvi,
naweza kupata maelezo na sehemu ambapo ntaweza kupata utaalam wa kufungiwa tracker kwenye chombo cha usafiri kama pikipiki au bajaj kwa ajili ya kujua ilipo na kuona mienendo...
TOYOTA LITEACE NOAH
Noah SR40 2000 M
EXTRA OPTIONS :AFTERMARKET ALLOY WHEELS 15"
Automatic gear/Aircondition/radio system
petrol engine
model 1999
TOYOTA PASSO
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag...
Habari za leo ndugu mr.busin£ss supplier
Tunajihusisha na usambazaji wa dagaa wa kukaangwa kutoka ziwa victoria (mwanza) kwa bei nafuu kabisa ni dagaa safi wasio na mchanga ni watamu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.