Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nina mahitaji na power tiller lakini sina uzoefu nazo kuhusu ubora, bei na zinapopatikana. Hata kama ni used lakini inafanya kazi vizuri nitafurahi kupata taarifa. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaopenda kufanya biashara/Huduma za kifedha kupitia simu,basi hii ni nafasi kwao ya kujiongezea kipato.Laini za uwakala,M PESA,Tigo Pesa na Airtel Money zinauzwa.Zipo Arusha mjini.Kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu naomba kujua sehemu gani Mbeya naweza pata kiwanja kwa Mil.1 au 2
0 Reactions
6 Replies
5K Views
kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Nahitaji samsung note 4 au Samsung c5 used in good condition.... weka ofa yyko nikiridhika tufany biashara
1 Reactions
5 Replies
635 Views
Habarini,..Nahitaji mwalimu wa kunifundisha kupiga chombo chochote cha muziki kati ya hivi.,.Keyboard.,.Guitar or Drums.,.Niko Dar,.. Or kama kuna mtu yoyote ana studio and angependa kushare ujuzi...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Kimepimwa, hati miliki bado haijatoka, Bei 14 million. Kipo TEGETA DAWASCO BOKO. Mawasiliani 0672211602
0 Reactions
26 Replies
4K Views
HDD 500 RAM 4GB Vyuma vimebana naisukuma kwa bei nafuu tu shilingi 400,000/= kama unahitaji ni pm
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Salaam. Naomba mwenye kujua mahali walipo mafundi wa jiko la microwave Dar wanijuze. Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna dalali yoyote wa nyumba maeneo ya posta au upanga daresalaam
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Hello JF, Kama heading inavyojieleza natoa huduma za kutengeneza blogu na website kwa bei nafuu kabisa ya kuanzia elfu 2O/= nichek WhatsApp O652 92O 596
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Dagaa safi wakukausha toka bukoba debe kumi kwa shilingi 280,000 /=
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wasiliana na Mimi 0763347985/0673000103 Kwa hekar moja utahitaji roll tano na viunganishio vingine ambavyo ukijumuisha gharama zote , kwa hekari moja huweza kufikia 2.5mil Karibuni sana...
2 Reactions
13 Replies
7K Views
Apartment mpya kabisa hizi zipo kmr temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka main road ni dk 5 tuu kwa miguu zipo 3 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio imebakia ina vyumba 2 vikubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toner cartridge Refills is your best solution to less-expensive laser toner cartridge costs. Our toner refills are revolutionary and easy to use. Enjoy high quality toner refills with us. What's...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Habari wadau naomba msaada wa mawasiliano wa fundi mzuri wa AC za magari
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau natafuta Bar code Scanner. ..mpya au hata used pamoja na sales programme.Kwayoyote mwenye nayo anichek wakuu..0659300000
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Natafta gari used, iwe ni mitsubishi canter long base 3 tones. Itakuwa vema kama itakuwa ya engine D35. Chasis iwe haina vidonda Offer 12. Mill.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Freelances needed I need agents to sell raw cashew nuts to international market +255676019019 WhatsApp me Much gusto Mr MD Boniface I don't reply back here
0 Reactions
0 Replies
424 Views
Nauza simu aina ya sumsung galaxy j5 kwa 250000 na kitanda mbao orijinal 5*6 kwa 270000
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom