Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu. Naomba kujuzwa sites nzuri kwa ajili ya kununua viatu mtandaoni na pia kujua namba za viatu za nchi yetu ukilinganisha na namba za mataifa mengine.... Inaonekana mataifa tofauti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ng'ombe wa maziwa wanaotoa lita 17 hadi 20 aina ya Ayrshire na Freysian. Wenye mimba kati ya miezi 4 hadi 8. Bei 2.2 mil. Ng'ombe wanapatikana karibu na Mawasiliano(Sam Nujoma) Dar es salaam...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari wa jamii, nataka kununua kiwanja na ndio mara yangu ya kwanza na nilikuwa naomba kwa wenye uzoefu wa biashara izo wanishaur ni njia zipi naweza kupitia ili nisije jikuta tumeuziwa wawili na...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
SAMSUNG SMART TV FULL HD LED USB PORT HDMI BIULDER CHANNELS 40" 1,600,000/= 0717-062242 DELIVERY IN DAR NA MIKOANI TUNATUMA PIA TUPO K.KOO CHINA PLAZA @nafuuelectronicssupplier.com
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Habari, mwenye uzoefu na mashine za kichina za kutengenezea kokoto anipe uzoefu, kuhusu uimara wake, changamoto zake na kadhalika. shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habarini wakuu..naamini tu wazima wa afya na tunaendelea kupambana kujikwamua kiuchumi mimi ni mfugaji kwa muda sasa na pia ni mwanafunzi wa chuo cha sayansi ya afya na tiba- bugando Ninauza...
0 Reactions
1 Replies
48K Views
Wakuu poleni na majukumu, Ni wapi hapa dar nitapata mbegu bora za mahindi, nipate na maelezo yake mfano -Zinachukua muda gani kuota mpaka kuvunwa -Bei gani kwa kilo -Zinapandwa ngapi kwa shimo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu na tumai mko salama.. Naomba niende moja kwamoja kwenye uzi husika..Huu utakua uzi husika kwajili ya wanao nunua na kuuza vitu vyao binafsi..bila kupitia madalali.. Usawa huu vyuma...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Nina shida na processor ya Acer H5360 3D-DLP Projector ambayo unaweza ichomoa kwenye projector ambayo huna matumizi nayo labda ni mbovu iwe na umbo la mstatili na iwe katika Hali nzuri zinaingilia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kwa hili please na anisaidie tafadhali. Bajeti yangu ndo hiyo nipo Ukonga gongo la mboto Dar es salaam.
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Hello Gentleman and ladies, Natafuta Korosho kwa bei ya jumla please. Nahitaji debe moja tuu ambazo zimeondolewa maganda yake .ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani . Asanteni sana sana .
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Naombeni msaada, Anaeweza kujua mashati ya dizaini kama hiyo nitapata wapi kwa hapa Dar naomba anisaidie nayahitaji.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba ipo Ubungo Riverside umbali wa dk 3 kutoka barabara ya Mandela. Ina vyumba 2 , sebule, Veranda na choo cha ndani. Ina uzio Umeme na maji utashare na watu 2. Inahitajika kodi ya miezi 2...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nauza Camera Sony DSC W 800,ipo kwenye hali nzuri ,imetumika Mara mbili tu toka inunuliwe October 2017,INA vifaa vyake vyote,INA warrant mpaka November 2018 bei ni laki 2 tu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nurse midwife au nursing officer anahitajika haraka ..mshahara haupungui laki tano.. mawasiliano 0715407508
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Mwenye nayo wadau tuwasiliane kwa namba hii namba 0762328581
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama k cha habari kijielezavyo.... saloon ipo k mkwajuni karibu na jituo cha mkwajuni ipo kwenye barabara kubwa ya kuingia hananasif Bei: 4m maongezi yapo inapungua karibuni Au nicheki hapa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ram 4gb disk 250gb Bei 230k Unapata Kilakitu chake mpaka external mouse Iko poa sana haina shida yeyote zaidi ya betri haikai.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu Nahitaji mafreezer used ya futi 5, kama unayo tafadhali ni PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom