Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar wana jf kama kichwa kinavyosema kwa wale wamiliki na mameneja wa Mahotel, Migahawa na Bar sasa unaweza jipatia Menu/Bill holders bora kabisa kwa bei poa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naulizia hii Machine wapi naweza pata kwa hapa Dar.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa Vyumba vitatu choo cha ndani na nje Tabata Kisukulu Bei kwa mwezi 120,000
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wamekaangwa wakiwa fresh bila kuwekwa kwenye mabarafu hivyo wana ladha asilia. Karibu kwa oda na utapokea baada ya siku mbili. Tunatuma mikoa yote bei yake kwa samaki wawili wakubwa ni 15000...
1 Reactions
14 Replies
9K Views
Ubuyu unapatika wa kutosha bei ni 10,000 ndoo ya lita ishirini Karibuni
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari aina ya suzuki aerio ikiwa bado kwenye hali nzuri kabisa (plate no. D) milage 80.000 cc 1490 kwa milion 9 tu, negotiable. Gari imesajiliwa mwaka 2016. For contacts nipigie 0717425183. Karibuni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dagaa waliokaangwa wakiwa wabichi. Kwanini ununue kwetu? *Hawana mchanga wala uchafu *Wamekaangwa wakiwa wabichi hivyo wanaweza kuliwa baada ya kupashwa tu sio lazima kuunga na nyanya. *...
1 Reactions
18 Replies
10K Views
Napokea oda ya kuku kuanzia wawili (2) na kuendelea waliokwisha kuandaliwa tayari bei inaanzia 15000-20000 Dar unaletewa ulipo na wengi kuanzia100 hawa Ukishaagiza unapata baada ya siku 2 bei ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa anae hihaji mahindi nina gunia 50 na kila gunia ni shilingi 50000 tu napatikana Arusha kisongo kwa mawasiliano piga 0759547047
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inaingia kwenye camera yoyote nikon au canon, imetumika ndani ya mwezi mmja inasupport function zote za speedlight bei ni laki 2 tuu(fixed)
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Bei million 14. Lipo kwenye Hali nzuri kabisa limetumika kwa mwaka mmoja tuu. Ni LA mwaka 2003 Lina seat cover za leather. Halidaiwi ushuru. Sababu ya kuuzwa ni kwamba muhusika amepangiwa...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Nipo Dar es salaam Nataka moja kati ya hizo simu Ukiniuzia simu ya uwizi au yenye tatizo la kiufundi , nakwambia nakufunga Ofa Laki 2 TZS Call 0718295182, 0753254562 BANGOJEUPE
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Zipo tani tatu za tangawizi natafuta soko kubwa ambapo zinaweza kutoka zote haswa viwandani au masoko makubwa wanaochukua nyingi nyingi. Mzigo umeshatoka shambani tayari umeingia mjini. Karibu sana
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kiwanja kinauzwa pamoja na nyumba kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba GEITA njini kwa bei nafuu. pia kama utaitaji viwanja ama nyumba katika mikoa ifuatayo nijulishe BUKOBA MWANZA MUSOMA MARA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wangwana naomba kama kuna mtu hum anae jua sehem wanayo uza fire extinguisher kwa bei ya jumla kwa mwanza please
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hey,mambo vp wana jamii forum? Natumai mu wazima kabisa, ombi langu kwenu kwa anaefahamu bei ya tangawizi sokoni kwa kilo naomba anipe price tafadhari na kama kuna anayefahamu soko la tangawiz kwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Asee nina mil 1 ninahitaji piki piki used(isizidi mwaka mmoja toka inunuliwe na iwe haijaguswa injini)ya kutembelea mwenye nayo anipe namba tuwasiliane!
0 Reactions
0 Replies
673 Views
PATA SERIES NZURI KWA BEI SAWA NA BUREE..................SEASON KAMA INHUMAN,THE GIFTED,DESIGNATED SURVIVOR 1&2, na nyingine nyingii nichek kwa 0658714777, or airtel 0692442335
0 Reactions
4 Replies
923 Views
Back
Top Bottom