Wadau natumai wote hamjambo!
Nauliza wapi nitapata nguo nzito nzito za kuvaa wakati wa baridi kwa jumla nije niuze rejareja? Nipo njombe!!
Tusaidiane kujiajiri
Shukrani wakuu
Wanajukwaa hii inaweza kuwahusu kwa aslimia kubwa wakazi wa dodoma mjini na viunga vyake nina magunia 5, ya mahindi ninauza ninapenda kwa mnunuzi aliepo maeneo ya dodoma atakae kuwa tayari kununua...
Nahitaji gari ya Mil 5 mpaka 6
Ningependa Engine size iwe zaidi ya CC 1500 (Yaani 1500 kuPanda juu)
Yenye uwezo wa Kwenda safari ndefu.
Sihitaji Dalali.
Toyota: High Priority
Mwenye nayo ani PM.
#VIDEOGRAPHER /PHOTOGRAPHER BINAFSI#
Unahitaji Kutunza kumbukumbuka zako Na kushare na Ndugu Jamaa na marafiki zako,Na Unahitaji PICHA NA VIDEO nzuri za kumbumbuku
#Tunakupa Videographer &...
Tunapatikana Arusha, Njiro kwa misosi mizuri hili ndo eneo sahihi kwa mabachelor hata wenye familia.
Kwetu mteja ni mfalme na tutahakikisha unaridhika kwa huduma nzuri.
Karibuni sana kwa huduma...
Fundi umeme majumbani karibu mteja uhudumiwe naitwa Ezekiel kazi yangu ni fundi umeme ninafanya kazi nzuri kwa uaminifu ninahofu ya mungu ninapatikana kwa namba +255654270004 you are welcome for...
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji kununua kampuni iliyosajiliwa Brela na iwepo GPSA
Kwa mtu yeyote mwenye kampuni anayeuza naomba tuwasiliane PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.