Hii ni maalum kwa anae hitaji milango ya nyumba hasa kwa dar es salaam, weka order yako mlango mmoja tsh 450k pia bei hutofautiana kulingana na size ya mlango wenyewe na aina ya mbao mfano...
Unahitaji Ramani ya Nyumba yeyote ile kwa Gharama Nafuu?
Basi Suluhisho Lipo, tunadesign Ramani Bora Official Kwa Gharama Nafuu Kabisa!
Tunachora kwa AutoCAD na ArchCad.
Ramani yako itakuwa na...
Ramani za nyumba za kawaida na maghorofa,ramani za nyumba za kawaida sasa ni 250,000- 300,000 kama inakuwa na mabanda ya nyuma(servant quarter) inakuwa ni sh 350,000.
Ramani za ghorofa moja ni...
Toshiba satellite 160GB storage, 1GB RAM, Duo core processor clock @ 1.7GHz
Wireless (Bluetooth) speaker with auxile input with strong base sound
Punguzo kubwa lipo pia
Location: Arusha
Contact...
Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza course ya afya, nahitaji msaada wa PC nzuri kwa ajili ya kujisomea na yenye bei nafuu na kwa yeyote anayeweza nisaidia upatikanaji wake,
Napatikana Kinondoni...
FAT RUDUCING GRILL
MAFUTA KIDOGO CHAKULA KIMEIVA
LINATUMIA UMEME
170,000/=
TLDELIVERY IPO KWA DAR NA MIKOANI TUNATUMA PIA
TUPO K.KOO CHINA PLAZA
#0717_062242
#0757_562378
karibuni sana...
Nahitaji earphones nipo arusha
Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani
na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo...
Habari midaa hii wadau wa JF
Kwa wale wakazi wa Arusha, natafuta Shamba la kununua kama Heka 3 maeneo ya Mlangarine au Manyire.....Mwenye kujua naomba anipe msaada...
Wasalaaam
Habari za jioni wajasiriamalu wenzangu,
Naomba kwa wazoefu/wajuvi wanifahamishe gharama za utengenezaji wa sabuni ya unga kama kilo 10 - 20 hivi.
Nitashukuru sana wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.