Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni kitabu kilichoandikwa na mwanachuon toka Lebanon ..Abu muhammad al maqdis na kufanyiwa tarjama hapa Tanzania na wanafunz Ashfat peter na sameer mugisha Kitabu kimeeleza msimamo wa uislamu juu...
1 Reactions
2 Replies
638 Views
Tunauza mabaibui pamoja na mitandio kutoka Misri na nchi nyingine za Kiarabu. Bei ni Tsh 45,000 tu, karibuni sana. Kwa mawasiliano zaid ni pm
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Habari zenu? Viwanja viwili vinauzwa kwa pamoja ni futi 40 X80 kwa kila kimoja, vyote vipo pamoja(vimeungana)umeme na maji yapo kwenye kiwanja, barabara inafikika mwaka mzima. Viwanja vipo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hyy wana JF.. Nipo mkoani Mtwara now some college.. So nahitaji line za chuo za Airtel, So naweza kupata maeneo gani hapa mjini..? Wenyeji wa Mtwara msaada tafadhari Nawasilisha By Shombeshombe...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tanga stone zinapatikana kwa anayehitaji, mzigo unaletewa popote ulipo, Kwa maelezo zaidi piga 0738548159
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Gari tajwa hapo juu inauzwa bei nzuri iko safi fibali vyote vipo hai bei mil 46 ukiipenda njoo pm kibiashara zaidi na kupata mawasiliano
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Kiwanja kinauzwa Morogoro mjini- Nanenane, kina offer sqm 690, maji, umeme vipo, kiko katikati ya makazi, kilometer 1 toka barabara kuu ya dar -moro, bei 15millioni, pia kuna tofali za mchanga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Laptop aina ya HP ProBook 4540s inauzwa Arusha. Laptop hii ina sifa zifuatazo: Specifications Processor: Intel core i3 @ 2.4Ghz RAM: 4 GB Hard Disk: 500 GB Operating System: Windows 10 Laptop...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Domain name registration ofa pata .com/.net kwa tzs 12,000 kwa mwaka. Mawasiliano 0719658086. Portal Home - Tanzania Website Experts
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Za asubuhi wapendwaaa Nina hisaa 1300 za crdb bank naziuzaa napatikana arusha namba yangu ya simu ni 0625 691470.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau napenda kufahamu soko la ubuyu mweupe ambao bado haujafanyiwa procces yoyote zaid ya kutolewa kwenye magamba yake.!
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari, kilivyo hapo juu, dagaa wasafi wanapatikana kwa Bei rahisi sana Tsh. Laki na sitini ( 360,000 ). Tupo Dsm, mikoani pia tunatuma, Ni pm kwa Mawasiliano zaidi karibuni sana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawasalimu Wakuu. Moja kwa moja ninyooke nisiwachoshe.Nimefuatilia bei za gari kuingiza nineona naweza kununua sasa maana mambo ya msingi nimepunguza la starehe kidogo nimiliki usafiri wangu ka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HDD: 500Gb Processor core i3 Ram 4gb Fingerprint HDMI/VGA Price: 500K Location: Dom Cont. 0625659842
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Nauza Tecno W3 LTE yenye sifa zifuatazo. Kioo size yake ni inches 5. Battery 2500mAH inakaa muda mrefu. Ina uwezo wa 4G LTE. Internal Memory 8Gb. R.A.M 1GB. Kamera ya nyma 8 Mp. Kamera ya mbele 2...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Ewe Mzazi ewe mwanafunzi tumia karibuni Vitabu Vya bookkeeping olevel nilivyonavyo sasa ni vya form one tu.ukiitaji nicheck Wsp 0782163738 Au nipigie 0752163738/0712163738
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi naishi kahama mkoani shinyanga.Wazo langu ni la kufungua Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi. Nilipata sehemu karibu kabisa na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Za jioni wadau? Simu aina ya Huawei P8 na INA 3GB ram na internal yake ni 16 GB. Haina tatizo lolote naiuza kwa sababu Nina simu nyingine hii imekaa tu ndani. Iko kwenye condition nzuri na kwa...
0 Reactions
2 Replies
866 Views
Back
Top Bottom