mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Wakuu natafuta eneo maeneo ya Ngongongale Arusha kule karibu na chuo cha UOA.
hayo maeneo yanamfaa coz yapo karibu na chuo alichokitaja hapo juu.Nikuunganishe na dalalali Ngongongare?? Ila hujasema Ngongongare ya mji mwema, tass, napoco au
yap, ni vizuri mkinisaida na range ya bei kwa saizi. maana, maeneo ya karibu na chuo sio mbaya sanahayo maeneo yanamfaa coz yapo karibu na chuo alichokitaja hapo juu.
vipimkuu viwanjaktk maeneo hayo vinaangukia ktk bei gani kwa haraka haraka?
na mitaa ya napoko...Dah...Ngongongare long time enzi izo mitaa ya Ngurdoto
Bei gani mkuu..??Kipo kiwanja mlangarini hk1