Natafuta kiwanja Arusha maeneo ya Ngongongale

Natafuta kiwanja Arusha maeneo ya Ngongongale

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,419
Reaction score
17,761
Wakuu natafuta eneo maeneo ya Ngongongale Arusha kule karibu na chuo cha UOA.
 
Nikuunganishe na dalalali Ngongongare?? Ila hujasema Ngongongare ya mji mwema, tass, napoco au
 
Nikuunganishe na dalalali Ngongongare?? Ila hujasema Ngongongare ya mji mwema, tass, napoco au
hayo maeneo yanamfaa coz yapo karibu na chuo alichokitaja hapo juu.

vipimkuu viwanjaktk maeneo hayo vinaangukia ktk bei gani kwa haraka haraka?
 
hayo maeneo yanamfaa coz yapo karibu na chuo alichokitaja hapo juu.

vipimkuu viwanjaktk maeneo hayo vinaangukia ktk bei gani kwa haraka haraka?
yap, ni vizuri mkinisaida na range ya bei kwa saizi. maana, maeneo ya karibu na chuo sio mbaya sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom