Naitaji gari nzuri iliyotumika lakini iwe ipo katika hali nzuri.
Iwe na sifa zifatazo
Cc zisizidi 1500
Gari iwe namba D au C iliyo katika hali nzuri
Isiwe imepata ajari
Isiwe imerudiwa...
Pata machine ya juice ya miwa ya umeme bado mpyaaa bei poa kabisa 700000 tu imetumika mwezi mmoja tu ....machine ni ya umeme ipo katika hali nzuriiii no ya
Piga simu 0717178455
bei laki 7 tu...
Habari zenu wakuu! Nina machine Yangu ya kukamua miwa kwa ajili ya juice. Nina mambo mawili nataka kuifanyia
1) Inakula sana umeme kiasi kwamba inakuwa sio rafiki kibiashara
2) Nataka kurekebisha...
Habarini wana jamvi,
Mimi mwanafunzi wa elimu ya juu. Nimeamua kuanza kujiajiri, mapema nilianza kwa kufuga sungura kwa matumizi ya chakula changu na kama urembo tu kwangu. Lakini kwa sasa...
Tela la trekta lipo sokon, uwezo wa kubeba mzigo wa tani 6. Tela ipo morogoro mvomero bei 4.3million maelewano yapo kwa mawasiliano 0714268444 au 0716590309.
Jipatie iphone aina zote ziwe ni used au mpya kwa bei nafuu na utafikishiwa popote ulipo
mikoani tuna tuma pia kuanzia Iphone 5 mpaka iphone x series zote
CALL /WHATSAPP
0715514053
Habari
Gari aina ya nissan murano mbichi inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji.
Gari ni namba DFC ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za...
karibuni wapendwa magauni mazuri mazito rangi tofauti tofauti unavaa popote kwa 25k tuu nipo dar na mikoani unatumiwa bila wasi wasi njoo upendeze au umpendezeshe mpendwa wako..... karibu PM
habari wadau..
huu ni mnada huru.. nahitaji tv kwa ajili ya glossary yangu inch 42 au 43..
kwa mnaouza tv.. njooni hapa mueleze una tv ya aina gani na unauzaje.. na imetumika muda gani...
ni...
Sasa unaweza kutangaza bidha zako unazo uza bure na kwa urahisi kabisa na Kilizone huna sababu ya kuangaika kilizone itakupatia maelfu ya wateja kutoka Africa mashariki bure kabisa bila garama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.