Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naitaji gari nzuri iliyotumika lakini iwe ipo katika hali nzuri. Iwe na sifa zifatazo Cc zisizidi 1500 Gari iwe namba D au C iliyo katika hali nzuri Isiwe imepata ajari Isiwe imerudiwa...
1 Reactions
72 Replies
11K Views
Pata machine ya juice ya miwa ya umeme bado mpyaaa bei poa kabisa 700000 tu imetumika mwezi mmoja tu ....machine ni ya umeme ipo katika hali nzuriiii no ya Piga simu 0717178455 bei laki 7 tu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Please mwenye nayo aje tuyajenge nimpe bingo isiwe imetumika sana rangi yoyote
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Habari zenu wakuu! Nina machine Yangu ya kukamua miwa kwa ajili ya juice. Nina mambo mawili nataka kuifanyia 1) Inakula sana umeme kiasi kwamba inakuwa sio rafiki kibiashara 2) Nataka kurekebisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Call:0658267377
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Reg number D 90000 kms Running No accident history Slide to my PM if interested, only serious buyers. Thanks
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Anaehitaji laini ya tigo pesa ipo. Nipo dar es salaam 0655618310
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi, Mimi mwanafunzi wa elimu ya juu. Nimeamua kuanza kujiajiri, mapema nilianza kwa kufuga sungura kwa matumizi ya chakula changu na kama urembo tu kwangu. Lakini kwa sasa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Tela la trekta lipo sokon, uwezo wa kubeba mzigo wa tani 6. Tela ipo morogoro mvomero bei 4.3million maelewano yapo kwa mawasiliano 0714268444 au 0716590309.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kima kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji viti vinne na meza moja nicheki kwenye whatsapp 0787384659
0 Reactions
0 Replies
5K Views
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Jipatie iphone aina zote ziwe ni used au mpya kwa bei nafuu na utafikishiwa popote ulipo mikoani tuna tuma pia kuanzia Iphone 5 mpaka iphone x series zote CALL /WHATSAPP 0715514053
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu!naomba msaada wenu
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Gari aina ya nissan murano mbichi inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji. Gari ni namba DFC ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
karibuni wapendwa magauni mazuri mazito rangi tofauti tofauti unavaa popote kwa 25k tuu nipo dar na mikoani unatumiwa bila wasi wasi njoo upendeze au umpendezeshe mpendwa wako..... karibu PM
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Ukubwa wa eneo 1145 square meter Bei Tsh 68 milion Call 0753717479
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari wadau.. huu ni mnada huru.. nahitaji tv kwa ajili ya glossary yangu inch 42 au 43.. kwa mnaouza tv.. njooni hapa mueleze una tv ya aina gani na unauzaje.. na imetumika muda gani... ni...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sasa unaweza kutangaza bidha zako unazo uza bure na kwa urahisi kabisa na Kilizone huna sababu ya kuangaika kilizone itakupatia maelfu ya wateja kutoka Africa mashariki bure kabisa bila garama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maeneo yawe, kimara , kinondoni, magomeni, riverside na mwenge,isiwe mbali na barabarani. Bei isizidi laki moja.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anae jua msaada please
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom