Mabati ya Alaf kwa bei ya kiwandani

Mabati ya Alaf kwa bei ya kiwandani

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
628
Niko na bati mpya kutoka ALAF. nilinunua kwa ajili ya kazi yangu lakini fundi alikosea vipimo kwa hiyo yamebaki.

bati tano ziko na 4.76RM kila moja na bati tatu ziko na 4.02 RM kila moja (RM=running metre)

bei kwa running metre ni 12,744 (hii ni bei ya kiwandani, bila kuongeza hata senti moja)

rangi ya bati ni brown red (ile red inakuwa nzito, labda wengine huita dark red)

Bati zipo salasala. kama unayahitaji niPM.
 
Jamani hakuna anayetaka hizi bati kwa bei ya kutupa kabisa?
 
vip bado yapo hayo majamaa eti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom