Toyota Land cruiser inahitajika

Toyota Land cruiser inahitajika

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
14,000
Habari zenu wote?
Nahitaji kunununua gari tajwa hapo juu, iwe ni macho panzi yenye dash board ndogo na iwe kwenye hali nzuri.
Kama unayo njoo PM

Asante.
 
Habari zenu wote?
Nahitaji kunununua gari tajwa hapo juu, iwe ni macho panzi yenye dash board ndogo na iwe kwenye hali nzuri.
Kama unayo njoo PM

Asante.
Tupia hata picha ya mfano tuione hyo TLC macho ya panzi inafananaje!!
 
Hadi umri huo huju macho panzi? Be serious please!!
 
Mkuu nitag hiyo gari niione..
de5a9bd380ce3918e7f50d9c24b5e018.jpg
44016ff9d7a04cc67502096ab56569a0.jpg
 
Land cruiser ipi ziko nyingi sana. Vx ziko kama aina 5, gx kama aina5, prado ziko kama aina 8, kilimo kwanza aina 6, kuna hardtop aina kama 6. Hizo ni chaje tuu badhii wewe unasema
 
IMG-20171106-WA0027.jpg
IMG-20171106-WA0025.jpg
IMG-20171106-WA0024.jpg
IMG-20171106-WA0022.jpg
IMG-20171106-WA0020.jpg
Mil 15
Karibunj tufanye biashara
0679502252
 
Ipo black new model ya 2016 inatakiwa ml110 kms chache sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom