Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu Hii tv nimeiona mtandaoni inauzwa bei rahis sana Ni mtandao wa alibaba Jee dukani huku bongo ni sh ngp? Nikiiagiza mtandaoni nitakatwa kodi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watson's honey product" -hii Asali yenye virutubisho vya kipekee sana . -Asali hii inakua tofauti na asali nyingine kutokana Na maua Na miti ambayo nyuki uchukua virutubisho kutengeneza Asali...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Ninauza nyumba, moja manzese darajani karibu na soko la manzese na nyingine zipo bunju usalama, kwa mtu mwenye kuhitaji anitafute kwa namba zifuatazo: 0717095366/0713990022/0786583806/0783502420
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari za mida hii. Anahitajika fundi wa kamabati ya jikoni na bed room wa uhakika na garama nafuu. Kama wewe ni fundi wa ukakika basi jitokeze nitakupa namba ya simu nione sampo ya kazi na maelewano
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zipo eka 100 Bei ni tsh 100000 kila eka Shamba linapatikana tarafa ya lupembe mkoani Njombe Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929 Linafaa kupandwa Miti ya mbao,matunda aina ya...
0 Reactions
2 Replies
971 Views
Wakuu habari za mudaa. Kama swali linavyojieleza hapo juu, ninahitaji maziwa freshi ya ng'ombe kuanzia lita 100 hapahapa Dar na iwe naweza yapata kila siku. Nataka kujua na bei ya lita moja...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama tangazo linavyojieleza nauza sabuni za magadi toka kigoma ni nzuri kwa kufilia kuoshea vyombo na hata kuogea ulipenda Bei kwa mche sh 1500 Kwa katoni ni sh 30000 Sabuni zinapatikana dar...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Lina ukubwa Wa eka 100 Bei ni tsh 100000 kwa eka Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoan Njombe Kwa mawasiliano zaidi nipigie simu 0764426929 au 0655726929 Shamba lipo mahali pazuri na linafikika na gari
0 Reactions
2 Replies
902 Views
Karibu sana usikose
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Kwa wale wakazi wa Arusha wenye mpango wa kufuga Nguruwe nafasi ndyo hii bei ni poa sana. Hao ni wa miezi mitatu.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Lap top aina ya hp EliteBook 8440p inauzwa sh 300,000 ipo katika hali nzuri Specs HDD 320 RAM 4GB Core i5 Battery 2:30 hrs Kwa yeyote aliye interested anichek 0652 646722 Napatikana maeneo ya...
0 Reactions
2 Replies
840 Views
Shamba lipo Tanzania, mkoa wa pwani eneo la msata lina ukubwa wa ekari 30, halijawahi fanyiwa shughuli yoyote ile. Ni bado pori. Lina faa kwa ufugaji na shughuli za Kilimo kama mahindi,maharage...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, Nina gari yangu hii naiuza bei poa kabisa bado mpya ni Noah SR 40..! Bei Milion 11 na nusu tu.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Inauzwa haina tatizo lolote Colour- space gray Memory-16 GB Fingerprint-[emoji818]️(inafanya kazi) Price/Bei-750k(laki saba na hamsini) Nipo dar es salaam -0675990776
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nauza Gari yangu Toyota Vitz ya silver,bei ni sh 5,500,000 tu.Gari haina tatizo lolote,iko Wazo.Shughuli zangu ni Tegeta hivyo ukitaka kuiona fika Tegeta halafu tuwasiliane.Mimi mwenyewe ndiyo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Niko na bati mpya kutoka ALAF. nilinunua kwa ajili ya kazi yangu lakini fundi alikosea vipimo kwa hiyo yamebaki. bati tano ziko na 4.76RM kila moja na bati tatu ziko na 4.02 RM kila moja...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Nyumba inauza ipo mbezi juu Main load ya goba ukitoka masana inaeneo la sqm 10000 bei dola laki 7 mazungumzo yapo .0756249110/0715249110
0 Reactions
12 Replies
6K Views
We deal and specialize in the production of registered TOEFL, IELTS, ESOL, CELTA/DELTA & other English Language Certificates. Please note that Our IELTS & TOEFL Certificates are Original and...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Wadau kula kitu hiki Laini za tigo Pesa, mpesa na airtel money zinauzwa kwa bei Madum. Kwa mawasiliano Piga : 0653 68 9965 WhatsApp:0653 712 201 Email:visamgata@gmail.com Karibuni
0 Reactions
2 Replies
958 Views
wadau pikipiki aina ya scooter yamaha ambayo ni automatic (it's exexutive ride) yaani ni kukanyaga mafuta tu ngoma inatembea. Bado ipo kwenye hali nzr. Ikiwa mpya bei yake ni mil. 4.8 Documents...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Back
Top Bottom