Habari wakuu
Hii tv nimeiona mtandaoni
inauzwa bei rahis sana
Ni mtandao wa alibaba
Jee dukani huku bongo ni sh ngp?
Nikiiagiza mtandaoni nitakatwa kodi?
Watson's honey product"
-hii Asali yenye virutubisho vya kipekee sana .
-Asali hii inakua tofauti na asali nyingine kutokana Na maua Na miti ambayo nyuki uchukua virutubisho kutengeneza Asali...
Ninauza nyumba, moja manzese darajani karibu na soko la manzese na nyingine zipo bunju usalama, kwa mtu mwenye kuhitaji anitafute kwa namba zifuatazo:
0717095366/0713990022/0786583806/0783502420
Habari za mida hii.
Anahitajika fundi wa kamabati ya jikoni na bed room wa uhakika na garama nafuu.
Kama wewe ni fundi wa ukakika basi jitokeze nitakupa namba ya simu nione sampo ya kazi na maelewano
Zipo eka 100
Bei ni tsh 100000 kila eka
Shamba linapatikana tarafa ya lupembe mkoani Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Linafaa kupandwa Miti ya mbao,matunda aina ya...
Wakuu habari za mudaa.
Kama swali linavyojieleza hapo juu, ninahitaji maziwa freshi ya ng'ombe kuanzia lita 100 hapahapa Dar na iwe naweza yapata kila siku.
Nataka kujua na bei ya lita moja...
Kama tangazo linavyojieleza nauza sabuni za magadi toka kigoma ni nzuri kwa kufilia kuoshea vyombo na hata kuogea ulipenda
Bei kwa mche sh 1500
Kwa katoni ni sh 30000
Sabuni zinapatikana dar...
Lina ukubwa Wa eka 100
Bei ni tsh 100000 kwa eka
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoan Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie simu 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mahali pazuri na linafikika na gari
Lap top aina ya hp EliteBook 8440p inauzwa sh 300,000 ipo katika hali nzuri
Specs
HDD 320
RAM 4GB
Core i5
Battery 2:30 hrs
Kwa yeyote aliye interested anichek 0652 646722
Napatikana maeneo ya...
Shamba lipo Tanzania, mkoa wa pwani eneo la msata lina ukubwa wa ekari 30, halijawahi fanyiwa shughuli yoyote ile. Ni bado pori. Lina faa kwa ufugaji na shughuli za Kilimo kama mahindi,maharage...
Inauzwa haina tatizo lolote
Colour- space gray
Memory-16 GB
Fingerprint-[emoji818]️(inafanya kazi)
Price/Bei-750k(laki saba na hamsini)
Nipo dar es salaam
-0675990776
Nauza Gari yangu Toyota Vitz ya silver,bei ni sh 5,500,000 tu.Gari haina tatizo lolote,iko Wazo.Shughuli zangu ni Tegeta hivyo ukitaka kuiona fika Tegeta halafu tuwasiliane.Mimi mwenyewe ndiyo...
Niko na bati mpya kutoka ALAF. nilinunua kwa ajili ya kazi yangu lakini fundi alikosea vipimo kwa hiyo yamebaki.
bati tano ziko na 4.76RM kila moja na bati tatu ziko na 4.02 RM kila moja...
We deal and specialize in the production of registered TOEFL, IELTS, ESOL, CELTA/DELTA & other English Language Certificates. Please note that Our IELTS & TOEFL Certificates are Original and...
Wadau kula kitu hiki
Laini za tigo Pesa, mpesa na airtel money zinauzwa kwa bei Madum.
Kwa mawasiliano
Piga : 0653 68 9965
WhatsApp:0653 712 201
Email:visamgata@gmail.com
Karibuni
wadau pikipiki aina ya scooter yamaha ambayo ni automatic (it's exexutive ride) yaani ni kukanyaga mafuta tu ngoma inatembea.
Bado ipo kwenye hali nzr.
Ikiwa mpya bei yake ni mil. 4.8
Documents...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.