Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,558
- 14,309
Ndugu yangu mambo yangu hayapo vizuri kabisa. Napambana lakini hali bado mbaya. In short vyuma vimekaza.
Nimefikiria nimeona humu kuna watu wengi na tofauti tofauti, naomba kuwaomba kwa kuwa napendelea kuwa mtandaoni hasa kupakua vitabu basi yeyote mwenye uhitaji serious wa kitabu(softcopy) fulani anitaarifu nami nimtafutie ila kwa malipo kidogo hata elfu moja au elfu mbili ( nikifanikiwa kumtumia)
Nimefikiria nimeona humu kuna watu wengi na tofauti tofauti, naomba kuwaomba kwa kuwa napendelea kuwa mtandaoni hasa kupakua vitabu basi yeyote mwenye uhitaji serious wa kitabu(softcopy) fulani anitaarifu nami nimtafutie ila kwa malipo kidogo hata elfu moja au elfu mbili ( nikifanikiwa kumtumia)