BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,249
Wakuu kwema humi ndani?
Mimi naishi Mbeya nimepata kahela kidogo.
Sasa wazo langu nikufanya biashara ya nguo za watoto. Naombeni kujua ni mtaji kiasi gani unafaa kuanzia na mzigo naweza pata wap i kwa bei ya jumla huko Dar?
Pia ningeomba kujua changamoto za hii biashara kwa ujumla.
Natanguliza shukrani.
Mimi naishi Mbeya nimepata kahela kidogo.
Sasa wazo langu nikufanya biashara ya nguo za watoto. Naombeni kujua ni mtaji kiasi gani unafaa kuanzia na mzigo naweza pata wap i kwa bei ya jumla huko Dar?
Pia ningeomba kujua changamoto za hii biashara kwa ujumla.
Natanguliza shukrani.