Nauza vifaa vya electronic used,vipya na vilivyotumika vikiwa katika hali nzuri sana na ubora wa hali ya juu vingi ni mtumba imported nicheki PM ofisi ipo segerea mwisho ndani ya stand...
jipatie kuku wa kienyeji ( kuku wa asili) kwa ajili ya nyama nyumbani, harusini au hotelini, pamoja na shughuli nyingne tofauti tofauti za sherehe.
idadi yeyote unayo hitaji inapatikana
bei...
Kwa wale wanaofahamu thamani ya ardhi karibuni nauza viwanja vilivyopimwa kabisa tayari kwa ajiri ya hati viwanja viko yaleyale Puna Ni km 38 kutoka ferry,viwanja ni bomba kabisa viko mita chache...
Jiimarishe kiafya...
Ishi Kiasili +255769321005
Umekuwa mtu wa kero, fedheha, heshima
imepotea na huna amani katika ndoa yako kwa
sababu umekumbwa na tatizo la....
Uume kulegea....
Uume...
01.Eneo liko nala(Dodoma mjini)umbali wa kilomita 14 kutoka town centre na kilomita 2 toka barabara kuu ya lami iendayo mwanza/tabora/singida
02.Halijapimwa bado(tunaweza kukusaidia taratibu...
Get professional sign board designing and installation at good rates from Smart IT Solutions
call:+255 652822228
whatsapp number:+255 652822228
facebook:Robert Kundi
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza nauza kiwanja kibaha karibu na Tumbi hospitali bei milioni nne na haipungui ukubwa wake ni 40*20.Picha sijaweza kuweka cause nipo mbali so nikienda nitakipiga...
Wana jamii poleni na majukumu ya kila siku
Nina bidhaa zangu zinazohitaji kupata
Package nzuri za mfumo wa box
Lakini pia zinahitaji kupata designing nzuri kwa ajili ya branding
Nauliza kampuni...
1.Kiwanja kipo maeneo ya nkuhungu dodoma mjini
2.kiwanja kina ukubwa usiopungua square metres 450
3.liko umbali wa kilomita 7 toka katikati ya mji na mita 780 toka barabara kuu ya lami iendayo...
Tunauza montor zaina mbali mbali ila leo natoa ofa hii ya dell inch 17 tupo Dar es salaam ilala bei 70,000
number ya simu +255 719484663 au +255 789880287
whatsapp number ++255 719484663 au +255...
Najihusisha na installation ya windows xp,7,8 na 10 kwenye computer aina zote na unafanyiwa installation ya program zote na antivirus kwa bei ya 10000 tu. Pia najihusisha na kuuza games za pc na...
Nipo Mwanza natafuta economy car! Kwa MTU mwenye kuweza kusaidia, anichek plz
Iwe kwenye condition nzuri
Iwe na radio +ac
Isiwe na michubuko na isiwe record za ajali!
Karibuni!
Kwa wale wapenzi wa riwaya za kijasusi pamoja na riwaya za kijamii, napenda kuchukua fursa hii kuwatangazia juu ya ujio wa kitabu cha DIMBWI LA DAMU kilichoandikwa na marehemu BEN MTOBWA na...
Habari ndugu zangu.
Nimeibiwa bag langu Jeusi ndani kukiwa na
-Laptop aina ya HP ENVY ×360 Core i5 touch screen ya Silver (System password Protected)
-External Hard drive Transcend 1TB ya Blue...