Nauza vifaa vya elektroniki 'used'

Nauza vifaa vya elektroniki 'used'

Phoenix

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2012
Posts
10,592
Reaction score
15,488
Nauza vifaa vya electronic used,vipya na vilivyotumika vikiwa katika hali nzuri sana na ubora wa hali ya juu vingi ni mtumba imported nicheki PM ofisi ipo segerea mwisho ndani ya stand.

Mawasiliano pm

Karibuni wote..!

'Cha zamani kwako,kipya kwetu'
 
una aina ganinya hometheatre na specs zake tena kwa magufuli- shiling ngapi
 
tutakuja haujataja hivo vifaa vyenyewe ni nini na nini
 
f74e9e8606c9a8bd3df788995b0ed180.jpg
c6fa4450fcc58db314f48cc7fa90aaf1.jpg


Freezer
Hotpoint,ina kabati hizo.
Bei tsh.400000
 
Vifaa gani unavyo?

Ingekuwa vema sana ungeweka list ya vifaa vyote na picha zake.

Je kama unauza dildo za kie electronics si matusi hayo?

Anhaa! Ndio nimeona instagrama yako. Kumbe ni nyie?
Nimeahanunua baadhi ya bitu hapo.
Viko poa.
 
Vifaa gani unavyo?

Ingekuwa vema sana ungeweka list ya vifaa vyote na picha zake.

Je kama unauza dildo za kie electronics si matusi hayo?

Anhaa! Ndio nimeona instagrama yako. Kumbe ni nyie?
Nimeahanunua baadhi ya bitu hapo.
Viko poa.
Mwe...
No dildoz
Tunagawa condom tu!
 
Back
Top Bottom