Saplaiz
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 283
- 289
Wana forum nahitaji nyumba ya vyumba viwili na sitting room au chumba kimoja na sitting room, maeneo ya ubungo, kimara, sinza, mwenge, kawe, mikocheni, kijitonyama na tabata. Bajeti yangu si zaidi ya 200k, vyumba viwe ndani ya fence, bila kusahau maji na umeme