Wanajamvi,
Naomba anayefahamu kiwanja kizuri kilichopimwa maeneo ya Pugu, Gongo la Mboto, Mbezi, Kinyerezi, Kimara. Kiwe sehemu nzuri siyo bondeni na kiwe siyo mbali sana na barabara na kiwe...
Jipatie madera yenye mitandio mikubwa kwa bei nafuu... Jumla ni12000 na reja reja ni 13000. Tupo ilala mtaa wa sadan ama kariakooo mtaa wa somali.
Tunafanya delivery na mikoani tunatuma pia...
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. kuku waliopo ni wakubwa uzito 2.5kg -3.5kg hawaugui ni wazima kabisa. bei ni sh 17000 kwa reja reja na kwa jumla sh 14000 karibuni nyote. mahali...
ama we mkulima wa matunda aina yeyote njoo PM Tuzungumze kampuni inachukua matunda mbali mbali na kuyapack kwa ajili ya Export.Napenda tufanye mazungumzo na mkulima direct Sio Dalali maana...
Habarini wana jf wenzangu
Mimi na umri wa miaka 25.nataka nimiliki gari. Naomba yeyote anaejua wanaokopesha magar anipe contact au directions. Nataka gari ndogo inirahisishie mambo madogo madogo...
Natafuta pipi Za Happy pop. Z a kijiti kwa shape zinafanana na (big Bom)
Nipo Dar. Kwa bei ya jumla mwenye nazo tafadhali N pm pamoja na mawasiliano yako!
Angalia nimeambatanisha na mwonekano wa...
Habari zenu, natafuta gari ndogo aina ya Vitz au Duet namba B ela niliyokuwa nayo kuanzia Milioni 3 kwa ambaye analo ajitokeze na gari iwe kwenye hali nzuri.
Habari wandugu,
Natafuta sehemu ya kununua kwa jumla kwa bei nzuri samaki aina ya Kamba kochi a.k.a Lobsters.
Au kama kuna mtu anawajua wavuvi wa haya mavitu ingepedeza sana.
fmlyimo@gmail.com...
Ni mafuta bora na ya asili ambayo hayahusishi kemikali ya aina yoyote ile. Watu wengi wanapenda yatumia na yanamatokeo mazuri hata kwa watu wenye ualibino, michubuko baadhi ya magonjwa mengine ya...
Habari wadau wa Jf, kama kawaida vyuma vimekaza na mimi nnawaleta deal mezani, nnahitaji TV kuanzia inchi 40 mpaka 60 kwa bei nafuu iwe dukani au mkononi kikubwa iwe na ubora, malipo ni kidogo...
Habari wadau.
Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson
Horsepower 255.
Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor.
Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote...
Je Uliwahi kua na plan ya kujenga Nyumba ukakosa pakuanzia?
Basi usiwe nawasii MA Architecture ni solution.
MA Architecture ni wataalamu wabobezi wa fani ya uchoraji wa ramani za majengo ya aina...
Mimi ni kijana nilie amua kujiajili kwa kuanzisha mradi wa kutengeneza nishati ya mkaa mbadala, mkaa huu unatokana na taka ngumu.Nimeanzisha kiwanda hiki na kushirikisha vijana wenzangu na...
nataka smart TV bei iwe zaidi ya kitonga
Brand ; Samsung au LG , "32
Budget yangu <350
Pesa mfuko wa shati
********UPDATE*******
NIMEONGEZA DAU WAKUU
Budget >400k pesa mfuko wa shati
RevoCom Delivery:
Hellow mwenye shida ya kuekewa Anti Virus anicheki ...15k only
Duration 1 year..Ur welcome
0769509430 whatsup
Jali PC yako,Jali data zako by checking us on 0769509430
ENGEN NI VVTI
IMETEMBEA KILOMITA 130000
GARI HILI HAIJAWAHI KUPATA AJALI,WALA BODY KUPINGWA RANGI.....
VIBALI VYOTE VIKO SAWA YAANI GARI HAIDAIWI.....
GARI INAUZWA MILION 7....
KWA MAWASILIANO...
Heshima kwa waungwana wote. Nimeamua kujenga ka-jumba kangu Morogoro na ningependa kujenga kwa matofali ya kuchoma. Swali - Je Kuna mtu anajua tofali imara za kuchoma zinapatikaneje (kwa...