Muwindaji JF-Expert Member Feb 28, 2015 245 206 Dec 10, 2017 #1 Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote. Kwa mawasiliano zaidi Piga namba hizi: +255712138156
Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote. Kwa mawasiliano zaidi Piga namba hizi: +255712138156
Muwindaji JF-Expert Member Feb 28, 2015 245 206 Dec 10, 2017 Thread starter #2 Unaruhusiwa kufanya mawasiliano kwenye namba hiyo muda wowote.
Bossless JF-Expert Member Oct 27, 2017 1,381 2,892 Dec 10, 2017 #4 Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha.
kangau JF-Expert Member Jan 7, 2016 258 255 Dec 10, 2017 #5 Mtu akiona tu uzii huu kwanza anakimbilia kwenye bei, hata kama picha haijafunguka bado.."WEKA BEI MZEE"
Mtu akiona tu uzii huu kwanza anakimbilia kwenye bei, hata kama picha haijafunguka bado.."WEKA BEI MZEE"
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,458 29,151 Dec 10, 2017 #6 Bei ni kubwa sana mpaka naogopa kuiweka hapa, Njooni Inbox,
Muwindaji JF-Expert Member Feb 28, 2015 245 206 Dec 10, 2017 Thread starter #8 Kwa maelezo zaidi naomba mnicheki kwenye hiyo namba yangu. Kwa mtu yoyote wa Dsm anayetaka kuliona anicheki kwenye hyo namba.
Kwa maelezo zaidi naomba mnicheki kwenye hiyo namba yangu. Kwa mtu yoyote wa Dsm anayetaka kuliona anicheki kwenye hyo namba.
Muwindaji JF-Expert Member Feb 28, 2015 245 206 Dec 10, 2017 Thread starter #9 Bossless said: Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha. Click to expand... Mkuu hii ni product bora kutoka uingereza... Durability ndio sifa yake kubwa. Hata hivyo halijatumika sana. Nicheki humu 0712138156
Bossless said: Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha. Click to expand... Mkuu hii ni product bora kutoka uingereza... Durability ndio sifa yake kubwa. Hata hivyo halijatumika sana. Nicheki humu 0712138156