Lonkoom perfumes ni brand ya perfume inayokuja kwa kasi.ina perfume zaidi ya 400.perfume zao ni za bei nafuu,harufu nzuri na zinazokaa kwa mda mrefu perfume zao zimewekwa kwenye chupa zenye mvuto...
Nauza viwanja PUNA kigamboni ni vilivvyopimwa.
Hati unaweza pewa msaada wakuchukuliwa kwa makubaliano maalum ndani ya miezi 2 unakuwa umepata hati.
Viwanja vinaukubwa wa 600sqm hadi 1000sqm...
Habari zenu wakuu wangu,
Naomba kama kuna mtu mwenye TV used ya Lg 49'' naitaka kwa kesho au keshokutwa, maana ninataka kuitumia week hii
NI PM AU NI TEXT NAMBA HII
0652800182
Habari wakuu..
Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana.
Budget yangu ni Tshs. 150,000/=
Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox.
Ahsante.
Habari zenu wana jopo.
Naandaa project ya kuzalisha bidhaa ndogo ndogo ni pate kipato na kutoa ajira kwa watanzania wenzangu, nime leta uzi huu kwenu kuomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata...
Simu mpya (imeshafunguliwa kwenye box na imewashwa na kuekwa apps chache) aina ya xiaomi redmi note 4 inauzwa, simu imeletwa toka china lakini mhusika alieletewa hata smartphone hajui kutumia...
Ipo tabata bunyokwa sio mbali na barabara vyumba viwili kimoja master sebule na jiko na kipo choo cha nje ndani ya eneo utakuwa mwenyewe bei yake 120,000 ukihitaji kuiona tuwasiliane
Pata vifaranga bora kabisa aina ya Chotara vya kuanzia wiki 1 na kuendelea kwa ajili ya utagaji mzuri wa mayai ya kienyeji.
Pia tunapokea oda za mayai kwa ajili ya kutotolesha, mashine zetu zina...
Acacia mangium (mkesia/mzanzibari) ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 7 hadi 10 baada ya kupanda.
Miche hii inapatikana kwenye vitalu vyetu vilivyopo kilombero morogoro kwa gharama...
Nyumba ina vyumba 4 vyote self contain, ina sitting room mbili juu na chini kubwa iko juu, ina jiko sehemu ya kulia chakula, store room bila kusahau car parking yenye uwezo wa kuingia na gari mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.