unataka wawe weupe na pua ndefu, wawe na manyoya mareeefu, au na maanisha nini kuhitaji "kuku wa kizungu"Habari za saa hizi wapendwa
Nina order kubwa ya kuuza kuku wa kizungu mwenye kuku hao ani pm
Sijui huyu jamaa ni Msukuma? Eti kuku wa kizungu!unataka wawe weupe na pua ndefu, wawe na manyoya mareeefu, au na maanisha nini kuhitaji "kuku wa kizungu"
Unataka vifaranga au aliye tayari kuchinjwa? Kwa hiyo bei?Nataka mia moja na nitakuwa nanunua kwako bei 4500
Mkuu kuku wapo wazuri tu!Hata mimi nahitaji nanunua kwa 5000 kwa dar mwenye nao aje pm ni serious business