Kambakochi (Lobsters)

Kambakochi (Lobsters)

fmlyimo

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
331
Reaction score
210
Habari wandugu,
Natafuta sehemu ya kununua kwa jumla kwa bei nzuri samaki aina ya Kamba kochi a.k.a Lobsters.
Au kama kuna mtu anawajua wavuvi wa haya mavitu ingepedeza sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
 
Ninachofahamu kuwa Visiwani Mafia Lobsters hawajawahi kuisha.Umejaribu kutafuta taarifa uko?
 
Na Mimi pia nimesikia, itabidi nifunge safari pande za huko kupata Picha halisi.
 
unategemea kununua kwa kiasi gani? pangani wapo kiasi fulani lakini supply yake sio ya kuaminika, unataka wazima au ambao wameshakufa?
 
Habari wandugu,
Natafuta sehemu ya kununua kwa jumla kwa bei nzuri samaki aina ya Kamba kochi a.k.a Lobsters.
Au kama kuna mtu anawajua wavuvi wa haya mavitu ingepedeza sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
Nenda mafia Kapige kambi huko utawapata tu
Uwe n'a kibali tu usiende kiholela

Ova
 
uko wapi? mi huwa nauza samaki wakila aina japo hawa wa aina hiii wanakuwa kwa msimu inategemea na mwezi sijui blabla
Habari wandugu,
Natafuta sehemu ya kununua kwa jumla kwa bei nzuri samaki aina ya Kamba kochi a.k.a Lobsters.
Au kama kuna mtu anawajua wavuvi wa haya mavitu ingepedeza sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
 
Wapo naweza kukuletea ila uwezo hauzidi kilo 60 kwa siku.
Je wadogo watafaa?
pia vipi unapokea rangi zote za lobster au upo na specific colour?

fmlyimo
 
Wapo naweza kukuletea ila uwezo hauzidi kilo 60 kwa siku.
Je wadogo watafaa?
pia vipi unapokea rangi zote za lobster au upo na specific colour?

fmlyimo
Tunapokea Kiasi chochote ulichonacho.
Wawe wakubwa wa gram 500 kuendelea.
Hatuchagui rangi, tunachukua rangi zote.
 
Tunapokea Kiasi chochote ulichonacho.
Wawe wakubwa wa gram 500 kuendelea.
Hatuchagui rangi, tunachukua rangi zote.
Kamba kochi Nenda muhoro.....rufiji kwenye muingiliano wa maji ya mto na bahari hapo kuna kamba kochi kiamaaa hadi kamba kochi Aina ya jumbo utapata.....
Ukitaka kufanya jambo fanyaaaa

Ova
 
Kamba kochi Nenda muhoro.....rufiji kwenye muingiliano wa maji ya mto na bahari hapo kuna kamba kochi kiamaaa hadi kamba kochi Aina ya jumbo utapata.....
Ukitaka kufanya jambo fanyaaaa

Ova
Asante sana kwa Taarifa hii muhimu sana.
 
Back
Top Bottom