THE POGORIAN MACHINE
Member
- Jul 27, 2016
- 49
- 14
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. kuku waliopo ni wakubwa uzito 2.5kg -3.5kg hawaugui ni wazima kabisa. bei ni sh 17000 kwa reja reja na kwa jumla sh 14000 karibuni nyote. mahali dodoma mjin area d, namba 0658706534 au 0714356444.