Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini wana jf wenzangu Mimi na umri wa miaka 25.nataka nimiliki gari. Naomba yeyote anaejua wanaokopesha magar anipe contact au directions. Nataka gari ndogo inirahisishie mambo madogo madogo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nissan Datsun ,Automatic ,Petrol ,Sun Roof ,2380CC ,four cylinder ,Duty paid ,Full Ac ,very gud condition ,price 14mil ,serious buyer call 0742597424
1 Reactions
0 Replies
722 Views
Natafuta pipi Za Happy pop. Z a kijiti kwa shape zinafanana na (big Bom) Nipo Dar. Kwa bei ya jumla mwenye nazo tafadhali N pm pamoja na mawasiliano yako! Angalia nimeambatanisha na mwonekano wa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari zenu, natafuta gari ndogo aina ya Vitz au Duet namba B ela niliyokuwa nayo kuanzia Milioni 3 kwa ambaye analo ajitokeze na gari iwe kwenye hali nzuri.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wandugu, Natafuta sehemu ya kununua kwa jumla kwa bei nzuri samaki aina ya Kamba kochi a.k.a Lobsters. Au kama kuna mtu anawajua wavuvi wa haya mavitu ingepedeza sana. fmlyimo@gmail.com...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Ni mafuta bora na ya asili ambayo hayahusishi kemikali ya aina yoyote ile. Watu wengi wanapenda yatumia na yanamatokeo mazuri hata kwa watu wenye ualibino, michubuko baadhi ya magonjwa mengine ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau wa Jf, kama kawaida vyuma vimekaza na mimi nnawaleta deal mezani, nnahitaji TV kuanzia inchi 40 mpaka 60 kwa bei nafuu iwe dukani au mkononi kikubwa iwe na ubora, malipo ni kidogo...
2 Reactions
10 Replies
10K Views
Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je Uliwahi kua na plan ya kujenga Nyumba ukakosa pakuanzia? Basi usiwe nawasii MA Architecture ni solution. MA Architecture ni wataalamu wabobezi wa fani ya uchoraji wa ramani za majengo ya aina...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Mimi ni kijana nilie amua kujiajili kwa kuanzisha mradi wa kutengeneza nishati ya mkaa mbadala, mkaa huu unatokana na taka ngumu.Nimeanzisha kiwanda hiki na kushirikisha vijana wenzangu na...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
nataka smart TV bei iwe zaidi ya kitonga Brand ; Samsung au LG , "32 Budget yangu <350 Pesa mfuko wa shati ********UPDATE******* NIMEONGEZA DAU WAKUU Budget >400k pesa mfuko wa shati
2 Reactions
43 Replies
5K Views
RevoCom Delivery: Hellow mwenye shida ya kuekewa Anti Virus anicheki ...15k only Duration 1 year..Ur welcome 0769509430 whatsup Jali PC yako,Jali data zako by checking us on 0769509430
0 Reactions
2 Replies
751 Views
ENGEN NI VVTI IMETEMBEA KILOMITA 130000 GARI HILI HAIJAWAHI KUPATA AJALI,WALA BODY KUPINGWA RANGI..... VIBALI VYOTE VIKO SAWA YAANI GARI HAIDAIWI..... GARI INAUZWA MILION 7.... KWA MAWASILIANO...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Call/wasap 0766607949 Tsh 30000....
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Heshima kwa waungwana wote. Nimeamua kujenga ka-jumba kangu Morogoro na ningependa kujenga kwa matofali ya kuchoma. Swali - Je Kuna mtu anajua tofali imara za kuchoma zinapatikaneje (kwa...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Ndugu zangu natafuta tenda ya kupika na kulisha watu chakula.Mwenye connection tafadhali njoo DM.nitashukuru Niko kigamboni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika msimu huu wa senene Victoria Vachino kupitia idara ya Lake v fishmonger wanakuletea Senene kutoka Bukoba kwa bei ya TSh7000/= zinapatikana mkoa wa Dar es Salaam Mbagala zakhem na Kimara...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Heshima mbele wakuu. Natafuta popo hai. Nitawapata wapi? Nataka niwanunue kwa kufuata taratibu za kisheria.. With much thanx in advance.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana jamii. Natafuta korosho kg 100 sasa hivi. Kwa Mtu alokuwa nazo hapa dar .Raw (white kennels) kama unazo nijulishe namba 0629839854
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Iphone 6s 16gb Gold Contacts 0712705942
0 Reactions
2 Replies
666 Views
Back
Top Bottom