kabiriga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 1,163
- 1,214
Habari zenu wana jopo.
Naandaa project ya kuzalisha bidhaa ndogo ndogo ni pate kipato na kutoa ajira kwa watanzania wenzangu, nime leta uzi huu kwenu kuomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata kampuni/ makampuni yanayouza na kukopesha machine za uzalishaji za bei ndogo Kati ya million 5 hadi 10. mfano mashine za kutengeneza chaki(sio SIDO), mashine za kutengeneza toothpick, mashine za kuzalishia vifungashio vya karatasi (sio plastic) nk. na pia zisiwe mashine za kilimo.
Natanguliza shukurani zangu.
Naandaa project ya kuzalisha bidhaa ndogo ndogo ni pate kipato na kutoa ajira kwa watanzania wenzangu, nime leta uzi huu kwenu kuomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata kampuni/ makampuni yanayouza na kukopesha machine za uzalishaji za bei ndogo Kati ya million 5 hadi 10. mfano mashine za kutengeneza chaki(sio SIDO), mashine za kutengeneza toothpick, mashine za kuzalishia vifungashio vya karatasi (sio plastic) nk. na pia zisiwe mashine za kilimo.
Natanguliza shukurani zangu.