Naona umechangamkia fursaZipo nauza 100000
Hizo hizoZile zakuwekea midori na nguo za watoto??
Kama unalo nipeNitumie Elfu 25 tu
Mi ninazo picha zake, tuma 10000o/-Nashindwa ku attach picha ila ni zile kabati za zipu,mwenye nazo tafadhali tuwasiliane
Zile za kitambaa unazifunga na kufungua
Mtaa gani mkuu45 kariakoo